Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 631
Kuna siku ambayo Arsenal imepata group gumu?Timu zote hapo ni mteremko huo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku ambayo Arsenal imepata group gumu?Timu zote hapo ni mteremko huo mkuu
French Connection ya profesa na Platini inahakikisha Arsenal anapata miteremko kila sikuKuna siku ambayo Arsenal imepata group gumu?
Hii mentality ndio inafanya club zetu nazo zinabolonga kila siku.Mara uchawi mara rushwa.Sasa hizo timu ngumu zingine zilizobaki si mzilete kuja kureplace ambazo zilizo qualify.Kia timu iliofika kwenye stage hii imefika kwa kushinda mechi yake na zipewe heshima.hakuna mabo ya rahisi wala nini.unaona makundi yana pangwa mbele ya macho yako lakini bado mnalia Arsenal wanapewa makundi rahisi.French Connection ya profesa na Platini inahakikisha Arsenal anapata miteremko kila siku
Ndio maana mnaishia quarter finals mmejitahidi sana ni semis, siku zote na hiki kikombe mtakisikia tu...hamna hata kimoja na hamtokipataHii mentality ndio inafanya club zetu nazo zinabolonga kila siku.Mara uchawi mara rushwa.Sasa hizo timu ngumu zingine zilizobaki si mzilete kuja kureplace ambazo zilizo qualify.Kia timu iliofika kwenye stage hii imefika kwa kushinda mechi yake na zipewe heshima.hakuna mabo ya rahisi wala nini.unaona makundi yana pangwa mbele ya macho yako lakini bado mnalia Arsenal wanapewa makundi rahisi.
Hakuna timu inayotaka kufika hizo stage na kuendelea?Ukweli ni kwamba hakuna timu rahisi kwenye champions na ukitaka kuchukua kombe u have to win ur games, haijalishi unacheza na nani.Ndio maana mnaishia quarter finals mmejitahidi sana ni semis, siku zote na hiki kikombe mtakisikia tu...hamna hata kimoja na hamtokipata
Milan na barcelona simchezo
Hata mimi nashindwa kuelewa hapa, eti Arsenal iko pt 1 na timu kama AC Milan iko pot 2??
Kuna utata hapa