ffoJ
JF-Expert Member
- Apr 9, 2014
- 398
- 535
Habari wanna JF?
Ninaomba kuuliza,,, ukiwa na account ya fedha za kigeni Kama ya currency ya Euro
, Je, unafanyaje ili uongeze thamani ya pesa utakayoitoa kutoka kwenye account yako?
A) Unatumia ATM ili itoke TZS straight
B) Unaenda dirishani utoe Euro
cash ili ukabadilishe nje kwa bureau de change/Bank
C) ...
Msaada plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaomba kuuliza,,, ukiwa na account ya fedha za kigeni Kama ya currency ya Euro
, Je, unafanyaje ili uongeze thamani ya pesa utakayoitoa kutoka kwenye account yako?A) Unatumia ATM ili itoke TZS straight
B) Unaenda dirishani utoe Euro
cash ili ukabadilishe nje kwa bureau de change/BankC) ...
Msaada plz
Sent using Jamii Forums mobile app