30 June 2021
Dar es Salaam,
Mkurugenzi Wizara Ya Mifugo na Uvuvi Bwana Emmanuel M. Bulai akizungumzia kuhusu Mkutano wa Usimamizi wa raslimali za Uvuvi Ndani ya Ziwa Victoria unaosimamiwa na nchi tatu wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zinazonguka Ziwa Victoria (Lake Victoria Fisheries organization) gonga : East African Community | Lake Victoria Fisheries Organization, Mkutano uliohudhuriwa na wadau wa Sekta ya Uvuvi Na kutoa maoni mbalimbali.
Mkutano umefanyika Golden Tulip Hotel Jijini Dar Es Salaam Umoja wa Ulaya (EU) Umetoa takribani Euro Milioni Mbili kwa ajili ya kusaidia Mradi wa Kusimamia Raslimali za Uvuvi ECO-FISH katika Ziwa Victoria kwa lengo la kuwezesha nchi wanachama kukuza vipato vya wavuvi na Uchumi wa Nchi kupitia Raslimali za Uvuvi .
Akizungumza katika kikao kilichohusisha wadau wa Uvuvi, Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi kutoka Idara ya Mifugo na Uvuvi Bwana Emmanuel Bulai amesema Fedha hizo zitasaidia kupata takwimu sahihi za Uvuvi katika Ziwa Victoria na Kuimarisha Uhifadhi wa Mazalia ya Samaki. Takwimu kwa upande wa ziwa Victoria eneo la ndani ya mipaka ya Tanzania ina mialo 580 iliyo rasmi ,wavuvi 102,000, vyombo vya uvuvi 36,000.
Kwa Upande Mwingine Makamu Mkurugenzi wa Kituo cha Uvuvi cha Afrika Mashariki Bwana Anton Ntunganyaho amesema kupitia Mradi huo utawezesha kuwajengea uwezo wavuvi katika kuhakikisha Uvuvi haramu unatokomezwa.
Kongamano hilo limefanyika ndani ya Siku mbili katika Ukumbi wa Golden Tulip Hoteli Jijini Dar Es Salaam .
Source: KONCEPT TV
Dar es Salaam,
EU YATOA MAMILIONI KUSAIDIA MRADI WA ECO - FISH ZIWA VICTORIA
Mkurugenzi Wizara Ya Mifugo na Uvuvi Bwana Emmanuel M. Bulai akizungumzia kuhusu Mkutano wa Usimamizi wa raslimali za Uvuvi Ndani ya Ziwa Victoria unaosimamiwa na nchi tatu wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zinazonguka Ziwa Victoria (Lake Victoria Fisheries organization) gonga : East African Community | Lake Victoria Fisheries Organization, Mkutano uliohudhuriwa na wadau wa Sekta ya Uvuvi Na kutoa maoni mbalimbali.
Mkutano umefanyika Golden Tulip Hotel Jijini Dar Es Salaam Umoja wa Ulaya (EU) Umetoa takribani Euro Milioni Mbili kwa ajili ya kusaidia Mradi wa Kusimamia Raslimali za Uvuvi ECO-FISH katika Ziwa Victoria kwa lengo la kuwezesha nchi wanachama kukuza vipato vya wavuvi na Uchumi wa Nchi kupitia Raslimali za Uvuvi .
Akizungumza katika kikao kilichohusisha wadau wa Uvuvi, Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi kutoka Idara ya Mifugo na Uvuvi Bwana Emmanuel Bulai amesema Fedha hizo zitasaidia kupata takwimu sahihi za Uvuvi katika Ziwa Victoria na Kuimarisha Uhifadhi wa Mazalia ya Samaki. Takwimu kwa upande wa ziwa Victoria eneo la ndani ya mipaka ya Tanzania ina mialo 580 iliyo rasmi ,wavuvi 102,000, vyombo vya uvuvi 36,000.
Kwa Upande Mwingine Makamu Mkurugenzi wa Kituo cha Uvuvi cha Afrika Mashariki Bwana Anton Ntunganyaho amesema kupitia Mradi huo utawezesha kuwajengea uwezo wavuvi katika kuhakikisha Uvuvi haramu unatokomezwa.
Kongamano hilo limefanyika ndani ya Siku mbili katika Ukumbi wa Golden Tulip Hoteli Jijini Dar Es Salaam .
Source: KONCEPT TV