Kambulanga
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 261
- 97
Moto wa mashoga sio ,bac tutaona?JPM anacheza na moto.
Moto wa mashoga sio ,bac tutaona?JPM anacheza na moto.
Acha kusapoti udikteta wewe funguka akili yako.Moto upi,mtapigwa kwa ngazi zote na Hamna cha kufanya ,JPM is there to stay
Sio udikteta,hawa wazungu jpm amekata mirija wanahangaikaAcha kusapoti udikteta wewe funguka akili yako.
Simba yako ilivyogongwa na TL atagongwa vile vile ili ukae kimya milele. Yanga oyeee
Kwenye Mwanga anawaita Mabeberu,akiwa gizani anawasujudia balaaa,Unafikiri madini na gesi vinaenda wapi Kama sio kwa Mabeberu?Wazungu hawaeleweki kamwe, jpm muda wote anawaita mabeberu lakini kila siku wanamwagia mapesa.tupambane na hali zetu
Kumbuka hao ndio JPM anawapigia magoti kuomba mikopo.Sio udikteta,hawa wazungu jpm amekata mirija wanahangaika
Jidanganyeni tu. Mwaka huu ni mambo mawili. Mkubali haki ichukue nafasi yake au mletewe arrest warrants na ICC pamoja na kuwekewa vikwazo vikali vya kiuchumi hadi wanajeshi wenu wawageuke kama MugabeNi Jambo la kawaida izi Taasisi kutoa matamko ya kutaka Amani,Haki na utulivu katika chaguzi za Afrika. Kama Marekani wakitoa tamko ujue waingereza wata fuatia na umoja wa ulaya ni Jambo la kawaida kabisa. Ata wao wameshajua JPM atashinda uchaguzi na Amani na utulivu vitaendelea kuwepo.
Aliyekuambia hatuna cha kufanya nani? Hebu usituletee ushamba wako hapa. Safari hii uhuni wa kishamba basi.Moto upi,mtapigwa kwa ngazi zote na Hamna cha kufanya ,JPM is there to stay
Tumechoka na MATAMKO yasiyo na meno Kama hili.. Tunahitaji hatua kali dhidi ya utawala huu usiotaka HAKi itendeke. Afadhali dikteta apewe ONYO kali, asipotekeleza hatua madhubuti zifuate.
Ndiyo ukweli kuna maigizo ya uchaguzi pekeeTz has no free and fair election, the better solutions to overcome is to face him fate as the results of killing of innocent people Akwilina.
NEC wana matokeo yao tayariAliyekuambia hatuna cha kufanya nani? Hebu usituletee ushamba wako hapa. Safari hii uhuni wa kishamba basi.
Hujui nature ya mikopo ya kimataifa,ile sio misaada ndio maana tunalipa kwa riba na sio kwa manufaa yetu wao ndio wafaidika zaidi.Na kwa taarifa yako mashirika mengi ya kimataifa yanahitaji tukope kwaoKumbuka hao ndio JPM anawapigia magoti kuomba mikopo.
Acha ujinga ICC ndio nini?Subiri dawaJidanganyeni tu. Mwaka huu ni mambo mawili. Mkubali haki ichukue nafasi yake au mletewe arrest warrants na ICC pamoja na kuwekewa vikwazo vikali vya kiuchumi hadi wanajeshi wenu wawageuke kama Mugabe
Anajifanya mwanaharakati wakati yeye ndio beberu nambari wani.Hujui nature ya mikopo ya kimataifa,ile sio misaada ndio maana tunalipa kwa riba na sio kwa manufaa yetu wao ndio wafaidika zaidi.Na kwa taarifa yako mashirika mengi ya kimataifa yanahitaji tukope kwao
Kwa hiyo hamtajali hayo matamko, mtaiba, Kama kawaida yenuHayo matamshi wanatoa Dunia nzima kwa kila nchi ya 3rd world kwenye uchaguzi, hata 2015 walitoa, ...