Mziki wenu mwisho kula makande na kufa hapo hapoWanajua mziki wetu! Unakwama wapi we pimbi?
Mziki wenu mwisho kula makande na kufa hapo hapoWanajua mziki wetu! Unakwama wapi we pimbi?
Lissu aliyemiminiwa risasi zaidi ya 30 ili afe, wewe na mimi tukanyamaza kimya, na hadi leo serikali yetu hata kujaribu kuchunguza tu hapana? Lissu aliyetetea wananchi dhidi ya kampuni za madini kwa zaidi ya miaka kumi wakati wewe na mimi tukicheka nazo?Makabaila yanapambana kurejesha walivyopoteza na Lisu anatumika kuwasaidia kufanikisha mambo yao.
Alishasema ataweka mali zote rehani ili tupewe hela na wazungu.
Lisu ni way kuogopa kama ukoma.
JIWE hawezi kuelewa hii Ligha.
Aliapa kabisa kuwa "ukinishauri ndio umeharibu kabisa maana sitofanya unacho nishauri".
Jiwe limezoea dhuruma ,ukatili Roho mbaya , wizi , visasi na kila aina ya Ubaya.
MSITEGEMEE KUWA NA UCHAGUZI WENYE UHURU NA HAKI.
Waanzania tumechoka kiingereza lugha ya mkoloni hicho kiingereza waongee na Lisu wao waliyemtuma yeye ndie anakielewa vizuri na anawaelewa waliomtuma hao waongea kingereza
Tz has no free and fair election, the better solutions to overcome is to face him fate as the results of killing of innocent people Akwilina.
JPM anacheza na moto.Wazungu hawaeleweki kamwe, jpm muda wote anawaita mabeberu lakini kila siku wanamwagia mapesa.tupambane na hali zetu
Wewe endelea na shughuli zako unapoteza muda tuTz has no free and fair election, the better solutions to overcome is to face him fate as the results of killing of innocent people Akwilina.
Ndio nini sasa?
Jumuiya ya kimataifa utumia muda mrefu kuonya, iwapo ikiamua kuchukuwa hatua utaka mambo mengi yarekebishwe kwa mara moja, hapo watawala upata shida sana, matokeo kama vikwazo vitadumu sana hata tukifanya mabadiliko ya uongozi! Tutatambua haki zote hata za mashoga!Wazungu hawaeleweki kamwe, jpm muda wote anawaita mabeberu lakini kila siku wanamwagia mapesa.tupambane na hali zetu
Wanabwabwaja tu. Wameona mbeljiji mwenzao hatashinda
Moto upi,mtapigwa kwa ngazi zote na Hamna cha kufanya ,JPM is there to stayJPM anacheza na moto.