Eti Wataalam hii Project ya Chaumma itafanikwa au itafail?

Eti Wataalam hii Project ya Chaumma itafanikwa au itafail?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,551
Reaction score
20,346
GT
Wale wataalamu wa siasa chafu na propaganda hii project ya Chaumma itatoboa kweli?
Binafsi nimeona imefail kabla hata ya utekelezaji wake kuanza. Huenda mi siyo mtaalamu sana wajuzi mtuambie.
IMG-20250523-WA0059.jpg
 
CCM Huwa Haina project za muda mrefu.

Ni Kwa ajiri ya kuiaminisha Dunia kwamba Chadema Umekufa, na Wanachama wamehamia CHAUMMA.

Baada ya Uchaguzi wataacha wajifie kama TLP na CUF.
 
Wote walioenda chauma hawana ushawishi hata robo, Mwalimu, Kigaila, Mrema, Ruge, Minja, na wengine ambao hatuwajui...

Hawa wote walikuwa wanaonekana kwasababu ya kina Lisu, Heche, Mnyika, Wenje and so on

So basically, wao wanaamini walikuwa Wana influence kumbe hamna kitu.

Wataangukia pua pakubwa.
 
GT
Wale wataalamu wa siasa chafu na propaganda hii project ya Chaumma itatoboa kweli?
Binafsi nimeona imefail kabla hata ya utekelezaji wake kuanza. Huenda mi siyo mtaalamu sana wajuzi mtuambie.
View attachment 3343495
Msigwa aliwapigia mluzi hawakumwellewa. Waache wakafyeke pori tutaona watavuna mwaka gani?

Na mvua hakuna ila watabaki na moto wa kuchoma mabua. Mabua ni akina nani watatafakari wenyewe.
 
CCM Huwa Haina project za muda mrefu.

Ni Kwa ajiri ya kuiaminisha Dunia kwamba Chadema Umekufa, na Wanachama wamehamia CHAUMMA.

Baada ya Uchaguzi wataacha wajifie kama TLP na CUF.
Umesahau na ule moto wa mabua alioingia nao Zito na ACT yake uchaguzi wa 2015. Walisimamisha wagombea nchi nzima, baada ya ucjaguzi Zito pekee ndio akawa mbunge! Wakakaa kwa kutulia maana sponser aliona amepoteza hela. Ni bahati majuzi akapewa pumzi na Maalim Seif huko kwa wapemba.
 
GT
Wale wataalamu wa siasa chafu na propaganda hii project ya Chaumma itatoboa kweli?
Binafsi nimeona imefail kabla hata ya utekelezaji wake kuanza. Huenda mi siyo mtaalamu sana wajuzi mtuambie.
View attachment 3343495
CHAUMMA sasa hivi ndo habari ya mjini. Kila baada ya thread 2 ya tatu ni CHAUMMA.
Hakuna taarifa ya habari bila CHAUMMA.
Lkn wanapandishwa chati na CDM..
 
Hii imekwisha buma ndiyo maana hata kiranja wao mkuu bado anachungulia kwa mbaaaali akisoma upepo, na staili waliyotumia kuwarubuni watu kujiunga nayo ilikuwa ya kitoto sana, bora wangefanya subra na kuwasomesha kwa kituo hadi waelewe somo lakini kuwachukuwa watu wazima toka mikoani hadi Dar bila kuwaeleza ukweli wa jambo lenyewe halafu unakuja kuwashtukiza hiyo ni dharau kila mwenye akili atachukia mpango wote.
 
GT
Wale wataalamu wa siasa chafu na propaganda hii project ya Chaumma itatoboa kweli?
Binafsi nimeona imefail kabla hata ya utekelezaji wake kuanza. Huenda mi siyo mtaalamu sana wajuzi mtuambie.
View attachment 3343495
Imeshafanikiwa kwa sababu lengo siyo kutengeneza mshindani mpya wa ccm bali ni kupunguza CDM na kuhalalisha Uchaguzi ujao.

Mission complete
 
GT
Wale wataalamu wa siasa chafu na propaganda hii project ya Chaumma itatoboa kweli?
Binafsi nimeona imefail kabla hata ya utekelezaji wake kuanza. Huenda mi siyo mtaalamu sana wajuzi mtuambie.
View attachment 3343495
Kama CDM isingekumbwa na fukuza fukuza ya wanachama mashuhuri Kaborou, Zitto, Dr Slaa, Covid 19 bila shaka kingekuwa na nguvu Mara tatu zaidi ya hii waliyonayo.

CCM inanufaika sana na hama hama ya viongozi wa CDM kwa sababu inawapunguzia human resource.

Tangu 2015 wakati wa ujio wa Lowassa CDM hawakupokea mwanachama mwingine yoyote mwenye ushawishi kujiunga nao.

Hii ni tatizo
 
CCM Huwa Haina project za muda mrefu.

Ni Kwa ajiri ya kuiaminisha Dunia kwamba Chadema Umekufa, na Wanachama wamehamia CHAUMMA.

Baada ya Uchaguzi wataacha wajifie kama TLP na CUF.
Project ha CHAUMMA imefanikiwa
 
Back
Top Bottom