wanafanya shooting au wana amshana ashiki zao..!? hapa bongo mimi nadhani tujikite zaidi katika kuamsha yale yaliyo lala kama viwanda na mashamba ya katani na reli..! kuliko kukaa kuiga mambo ya kizungu kumbe hata yale ya kibongo yenyewe hatuyawezi..! utafanyaje aaaaghhhghhh mimi wananiboa tu nadhani bora ninyamaze tuuu:flame:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.