NCHABIRONDA
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 288
- 101
Mara nyingi kila ukisikia mojawapo ya hotuba za Jk anasema kwamba" namnukuu: Tanzania ni moja wapo ya nchi ambazo uchumi wake unapanda kwa kasi sana! Mwisho wa kumnukuu. Kila siku najaribu kutafakari usemi huu kwani sina uhakika kama Jk anaifahamu vizuri Tanzania anayoiongoza. Ametumia vigezo gani mpaka adai eti uchumi wetu umepanda kwa 7%? Nawaombeni wana Jf ambao wanautalaam wa mambo ya uchumi wanisaidie kwa hili.