Eti tatizo ni kabila lake tu! Mawazo yenu tafadhali

Best ushauri wangu go 4 her'usimuache kama kwel mnapenda hata wazaz dunia zima ukikutenga ww simama imara sijui tatzo la wachaga wanawake'bt mmi mchaga mama na baba wote'navyokuambia hakuna wanawake wachakarikaji kama wachaga'hakuna binadamu asiye na matatzo wote tuna matatzo lakin kwa kukaa na kujua tatzo la mtu na kulisolve ndo the best way usimuache mpaka kuambia kwa sababu gan?
<br />
<br />
ahsante mkuu,
naomba niweke wazi sababu wanazozitoa wazaz,ndugu jamaa na marafiki.
1.sio mvumilivu ktk ndoa,pesa ikikatika humuoni tena.
2.anahamishia familia kilimanjaro na hasa watoto(wanakua close kwa wajomba kuliko baba wadogo na shangaz)
3.anashawish kujenga kwao na kipaumbele ni kuwapendelea ndugu zake zaidi.
4.mwanaume ukifa na ndoa ndo imekufa na hata wanao utawasikia tu huko rombo,tarakea,marangu nk.
5.hupenda kuwa final say kwnye mambo ya kifamilia wkt inatambulika wazi kuwa mwanaume ndo head of the family.
NB.wanatoa mifano mingi ya ndugu waliooa huko na yakawakuta mambo hayo,na ni kweli hata mimi ninashuhudia hali halisi.
 
wachaga wachaga wachaga jaman jrekebshen mbona watu weng sana wanaogopa?bse mkiwa kwenye uchumba mnajfanya wanyenyekevu then after mnaota mapembe.JIREKEBISHEN NA TABIA ZENU MBAYA

EvJ
Hope you are aware that Generilization is nothing but a product of a lazy mind?..................................This to me is nothing but blah blah blah blah, unless ofcourse you have some solid data you are willing to share???

BUGUMYA:
Since you know huwezi kuoana nae bila baraka ya wazazi, the best thing for you to do will be leaving her. Hizi habari za atakunywa sumu, or this and that , ni maneno tu. It takes a whole lot for one to end their own life, I can bet you my left arm that she is just bluffing...............life bila BUGUMYA itawezakana

Side Note
Real men dont run away from challenges like in your case. Instead you man up and fight for what you believe in and/or face them. Sijui utashauriwa ujenge huku, watoto watafanywa vile ................................................I mean really? How is this even possible except maybe
labda wewe as mume, you fall under the category ya wale wanaume wategemezi aka "wanaume kama binti"?
 
<b><br />
EvJ<br />
</b>Hope you are aware that Generilization is nothing but a product of a lazy mind?..................................This to me is nothing but blah blah blah blah, unless ofcourse you have some solid data you are willing to share???<br />
<br />
<b>BUGUMYA:<br />
</b>Since you know huwezi kuoana nae bila baraka ya wazazi, the best thing for you to do will be leaving her. Hizi habari za atakunywa sumu, or this and that , ni maneno tu. It takes a whole lot for one to end their own life, I can bet you my left arm that she is just bluffing...............life bila BUGUMYA itawezakana<br />
<br />
<b>Side Note<br />
</b>Real men dont run away from challenges like in your case. Instead you man up and fight for what you believe in and/or face them. Sijui utashauriwa ujenge huku, watoto watafanywa vile ................................................I mean really? How is this even possible except maybe <br />
labda wewe as mume, you fall under the category ya wale wanaume wategemezi aka &quot;wanaume kama binti&quot;?
<br />
<br />
nimekusoma mkulu.
 
Unajua kuna watu wanaona wanaweza kuignore wazazi na mambo yao yakanyooka sijuhi kwa vile wao wamesoma alafu wazazi ni kayumba lakini jaribu uone mwisho wake,mzazi hata kama yukoje ni lazima ukubali kwamba yy amekutangulia na ameyaona mengi ambayo ww doti.com bado huyajuhi na wala haujayapitia

Alafu wengi wetu tunahisi ndoa na mke ni mali yako bnafsi,sivyo!ndoa ni mali ya familia na ndo maana ukifika mda wazazi uanza kuhoji kuoa/kuolewa kwako ni kwa sababu wao wanayo nafasi 70%kuridhia na kuibariki ndoa yako,tusichukue usomi wetu ukatudanganya tukapretend kiulaya,hii ni Afrika na kwa maana hyo tujitahidi kuwini consent za wazazi wetu kuliko kuwapuuza vinginevyo tuendako ni kugumu sana kwani hatujuhi kukoje,leo na kesho utarudi kwa wazazi mara eti wakakubembelezee,ama nyie mnaona ndoa ni kama test za majaribio kwamba ukifeli hii utamake ijayo?ndoa haina majaribio,ndoa ndo maisha yako na ndo kiungo cha familia yako na yake,sasa kama unaanza tayari wazazi wako mguu pande si bora uache tu,unadhani mbele kuna nini huko?

nimeshangaa kuona great thinker anaacha kushauri badala yake anamshambulia mleta mada eti kisa username yake?kwa hyo usingeiona hyo username ungekosa cha kuchangia siyo?tusiwe too emotive kwenye mambo ya msingi jamani
 
Unajua kuna watu wanaona wanaweza kuignore wazazi na mambo yao yakanyooka sijuhi kwa vile wao wamesoma alafu wazazi ni kayumba lakini jaribu uone mwisho wake,mzazi hata kama yukoje ni lazima ukubali kwamba yy amekutangulia na ameyaona mengi ambayo ww doti.com bado huyajuhi na wala haujayapitia<br />
<br />
Alafu wengi wetu tunahisi ndoa na mke ni mali yako bnafsi,sivyo!ndoa ni mali ya familia na ndo maana ukifika mda wazazi uanza kuhoji kuoa/kuolewa kwako ni kwa sababu wao wanayo nafasi 70%kuridhia na kuibariki ndoa yako,tusichukue usomi wetu ukatudanganya tukapretend kiulaya,hii ni Afrika na kwa maana hyo tujitahidi kuwini consent za wazazi wetu kuliko kuwapuuza vinginevyo tuendako ni kugumu sana kwani hatujuhi kukoje,leo na kesho utarudi kwa wazazi mara eti wakakubembelezee,ama nyie mnaona ndoa ni kama test za majaribio kwamba ukifeli hii utamake ijayo?ndoa haina majaribio,ndoa ndo maisha yako na ndo kiungo cha familia yako na yake,sasa kama unaanza tayari wazazi wako mguu pande si bora uache tu,unadhani mbele kuna nini huko?<br />
<br />
nimeshangaa kuona great thinker anaacha kushauri badala yake anamshambulia mleta mada eti kisa username yake?kwa hyo usingeiona hyo username ungekosa cha kuchangia siyo?tusiwe too emotive kwenye mambo ya msingi jamani
<br />
<br />
ahsante sana kaka!
 
Ni binti wa 2nd year ktk moja ya vyuo vikuu hapa nchin ambae nimekuwa kwnye uhusiano nae kwa miez 8 sasa,nampenda na ananipenda pia.
Inshu iko hivi,mama yangu na ndugu zangu hawataki hata kumsikia baada ya kuwaeleza nia yangu ya kumuoa,wamekwenda mbali zaidi na wameahd kutonipa ushirikiano wowote wa kindugu kama nitamuoa.
Niliamua kumweleza mpnz wangu hali halisi,lakini ndo kwanza hajaelewa kitu na anadai ananipenda sana ha hayupo tayar kutengana na mimi,anasema yupo tayari kwa lolote lile na anaamini ipo siku wazaz watakubali.
Binafs sipo tayar kuingia kwenye ndoa isyo na baraka za wazazi wangu nawaheshimu sana na ninauthamin mchango wao ktk maendeleo yangu,vilevile namhurumia sana mpnz wangu kwa vile najua yatamkuta makubwa,na nimemwambia hali halis mpnz wangu lakn haelew kabisa,nampenda sana mpnz wangu lakin nawapenda na kuwaheshimu zaid wazaz wangu,wanasema wapo tayar niwaletee mwanamke wa kabila lolote lile kutoka Afrika watatoa baraka zao lakini si wa kabila lake(Mchaga).mbaya zaidi hata ndugu na marafk zangu wa karibu nao hawapo upande wangu,nampenda sana mpenzi wangu nae ananipenda pia..
Ushauri wenu ni muhimu sana wandugu,
nawasilisha....

mkuu pole sana kwa suala linalokukabili mbele yako .. naamini wengi hupenda kuwekeana ahadi za majumuisho na wenza zao pasipo kushirikisha familia kabla ya maamuzi na matokeo yake unapozuiwa kufanya jambo unaamini unazuiwa haki yako , yawezekana hata wakati wa utongozaji huwa wanatongoza kwa ahadi ... ila ndugu yangu wewe ni wa tarime - mara kweli utapaweza kwa wachaga na kale ka mila kakulinda heshima atakavumilia????
 
<br />
<br />
ahsante mkuu,
naomba niweke wazi sababu wanazozitoa wazaz,ndugu jamaa na marafiki.
1.sio mvumilivu ktk ndoa,pesa ikikatika humuoni tena.
2.anahamishia familia kilimanjaro na hasa watoto(wanakua close kwa wajomba kuliko baba wadogo na shangaz)
3.anashawish kujenga kwao na kipaumbele ni kuwapendelea ndugu zake zaidi.
4.mwanaume ukifa na ndoa ndo imekufa na hata wanao utawasikia tu huko rombo,tarakea,marangu nk.
5.hupenda kuwa final say kwnye mambo ya kifamilia wkt inatambulika wazi kuwa mwanaume ndo head of the family.
NB.wanatoa mifano mingi ya ndugu waliooa huko na yakawakuta mambo hayo,na ni kweli hata mimi ninashuhudia hali halisi.
mhv mwenzi moja akifa ndoa huwa inaendelea?
anashawishi kujenga kwao kwani kwao ni pangoni? hadi binti aolewe ndo aje ajenge?
yaani watoto nao wanahama home kwenda klm huna pa kuwaweka?
kwa ujumla wewe ni mshamba nenda tu jijijini kwenu ukaoe tena oa ndugu yako kabisa
 
<br />
<br />
japokuwa nampenda sana,nipo tayar kumuacha...ila yeye sasa,nahc atajiua soon! Kama nikimuacha,nina mawazo sana dada angu,we acha2
Rafiki yangu pole sana unachosema kina logic kubwa ila sijui uelewa wako upoje juu ya masuala ya ndoa,maana hata mimi nilipitia changamoto hizo 2008/2009 nilipotaka kuoa mchaga na nimeoa na anakubalika na kupendwa nyumbani sana na ni msaada mkubwa sana kwangu maana wanaujua ujasiriamali haswa.Tatizo ni uelewa wako binafsi je unajua maana ya mke?au urembo wa mwanamke?wewe kumpenda sio hoja ya msingi wala yeye kukupenda sio jambo la msingi,maana kumpenda mtu ni natural ila hoja ni je ANAFAA KUWA MKE,kama wewe ni mchaMungu na yeye akawa hivyo tena sio kinafiki bali kwa vitendo its ok.ila kama ni za kichuochuo basi umepotea.Pia ni ngumu mtu ambaye tayari umeshaanzisha nae mahusiano ya kimapenzi eti ukajua uzuri au ubaya wake,Kama unajua vigezo vya mke mwema na unaamini anavyo sidhani kama ungeogopa wazazi ila kama unabahatisha umepotea.Fanya research utagundua hakuna kabila lenye wake wazuri,mara uchawi,limbwata,uvivu,kujaza ndugu zake,kula sana,uchoyo,ugomvi,uhuni,kupenda shughuli,kutojali ndugu zako,matumizi mabaya ya fedha,kila kabila lina kasoro.Cha msingi ni sifa binafsi za msichana na ni lazima ajue mapungufu ya kabila lake na kwanini yeye sio kama wengine.Kama anafaa anaonekana hata kwa macho tuu(kwa sisi wanasaikologia)angalia nidham yake ya fedha kwa sasa utamjua tuu.Waheshimu wazazi lakini pia unaweza kuwashauri kwa upendo kama unauhakika na msichana.Ndugu zangu wengi na marafiki walionishauri nisioe mchaga nilikaa miaka mitano bila kuoa lakini wao waliooa makabila yao na mengine waliyodhani ni bora ndoa zao ni shida tupu ni mateso mie naishi maisha ya amani na upendo na wengi wananionea wivu maana ndoa yetu ni ya mfano.Muda mfupi tuu tangu tufunge ndo tulombwa kusimamia ndoa nyingi mno mpaka leo ni kielelezo bora.UKIMUOMBA MUNGU MKE AU MME MWEMA NA BORA NA MWAMINIFU USIMPANGIE KABILA YEYE WOTE NI WATU WAKE ANAJUA NANI NI MWEMA NANI NI MBAYA HATA KAMA ANAISHI KANISANI AU MSIKITINI,MIMI YOTE YALINIKUTA KILA NILIYEPATA ALIKUWA HAFAI MPAKA NIKATUA KULEKULE,JIWE WALILOKATAA WAASHI SASA NDIO JIWE KUU LA PEMBENI.MWOMBE MUNGU AKUSAIDIE......KAMA WEWE NI MUME MWEMA UTAPATA MKE MWEMA LAKINI KAMA SIO..FORGET IT HATA UCHAGUE MAKABILA YOTE UTAOA MBAYA TUUU..MAANA IMEANDIKWA NITAKUPA MSAIDIZI WA KUFANANA NAWE NA SI VINGINEVYO.GOODLUCKY.
 
Sasa unataka tukushaurije?!Umuwekee ulinzi ili asijiue?!
Nenda kamshtaki polisi kwamba anataka kujiua...nadhani watajua cha kufanya!
hivi huu ni ushauri kweli .? kwanini kama unaona una hasira kwa wakati huo usikae kimya au ndio kila kitu lazima uchangie mweeeeh.
busara zaidi inahusika hata kama ni kabila lako linahusika unapotoa ushauri
 
Rafiki yangu pole sana unachosema kina logic kubwa ila sijui uelewa wako upoje juu ya masuala ya ndoa,maana hata mimi nilipitia changamoto hizo 2008/2009 nilipotaka kuoa mchaga na nimeoa na anakubalika na kupendwa nyumbani sana na ni msaada mkubwa sana kwangu maana wanaujua ujasiriamali haswa.Tatizo ni uelewa wako binafsi je unajua maana ya mke?au urembo wa mwanamke?wewe kumpenda sio hoja ya msingi wala yeye kukupenda sio jambo la msingi,maana kumpenda mtu ni natural ila hoja ni je ANAFAA KUWA MKE,kama wewe ni mchaMungu na yeye akawa hivyo tena sio kinafiki bali kwa vitendo its ok.ila kama ni za kichuochuo basi umepotea.Pia ni ngumu mtu ambaye tayari umeshaanzisha nae mahusiano ya kimapenzi eti ukajua uzuri au ubaya wake,Kama unajua vigezo vya mke mwema na unaamini anavyo sidhani kama ungeogopa wazazi ila kama unabahatisha umepotea.Fanya research utagundua hakuna kabila lenye wake wazuri,mara uchawi,limbwata,uvivu,kujaza ndugu zake,kula sana,uchoyo,ugomvi,uhuni,kupenda shughuli,kutojali ndugu zako,matumizi mabaya ya fedha,kila kabila lina kasoro.Cha msingi ni sifa binafsi za msichana na ni lazima ajue mapungufu ya kabila lake na kwanini yeye sio kama wengine.Kama anafaa anaonekana hata kwa macho tuu(kwa sisi wanasaikologia)angalia nidham yake ya fedha kwa sasa utamjua tuu.Waheshimu wazazi lakini pia unaweza kuwashauri kwa upendo kama unauhakika na msichana.Ndugu zangu wengi na marafiki walionishauri nisioe mchaga nilikaa miaka mitano bila kuoa lakini wao waliooa makabila yao na mengine waliyodhani ni bora ndoa zao ni shida tupu ni mateso mie naishi maisha ya amani na upendo na wengi wananionea wivu maana ndoa yetu ni ya mfano.Muda mfupi tuu tangu tufunge ndo tulombwa kusimamia ndoa nyingi mno mpaka leo ni kielelezo bora.UKIMUOMBA MUNGU MKE AU MME MWEMA NA BORA NA MWAMINIFU USIMPANGIE KABILA YEYE WOTE NI WATU WAKE ANAJUA NANI NI MWEMA NANI NI MBAYA HATA KAMA ANAISHI KANISANI AU MSIKITINI,MIMI YOTE YALINIKUTA KILA NILIYEPATA ALIKUWA HAFAI MPAKA NIKATUA KULEKULE,JIWE WALILOKATAA WAASHI SASA NDIO JIWE KUU LA PEMBENI.MWOMBE MUNGU AKUSAIDIE......KAMA WEWE NI MUME MWEMA UTAPATA MKE MWEMA LAKINI KAMA SIO..FORGET IT HATA UCHAGUE MAKABILA YOTE UTAOA MBAYA TUUU..MAANA IMEANDIKWA NITAKUPA MSAIDIZI WA KUFANANA NAWE NA SI VINGINEVYO.GOODLUCKY.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
umenigusa sana mkuu,ahsante sana
 
mkuu pole sana kwa suala linalokukabili mbele yako .. naamini wengi hupenda kuwekeana ahadi za majumuisho na wenza zao pasipo kushirikisha familia kabla ya maamuzi na matokeo yake unapozuiwa kufanya jambo unaamini unazuiwa haki yako , yawezekana hata wakati wa utongozaji huwa wanatongoza kwa ahadi ... ila ndugu yangu wewe ni wa tarime - mara kweli utapaweza kwa wachaga na kale ka mila kakulinda heshima atakavumilia????
<br />
<br />
hah hah hah,yupo tayar kuvumilia yule
 
<br />
<br />
hah hah hah,yupo tayar kuvumilia yule

bugumya haya kama yuko tayari kuvumilia kile kipigo kwa mshahara wa kitenge sawa ..... but nadhani unatakiwa kwanza ukae na familia ujaribu kuwapa nafasi ya nini wanataka na kwa nini hawataki .. maana ulitakiwa uwaeleze kabla ya kumweleza mhusika una mpango gani na yeye maana wengi hupendi kuwaambia wenzi wao suala la ndoa sometime kwa kunogesha mapenzi
 
Hapa sidhani kama tunaongelea ni kwa kiasi gani wawili hawa wanapendana na je wanapendana kweli ama hawapendani,tunachojadili hapa ni uhalali wa binti ambaye wazazi hawamkubali,mie ni mhaya lakini hata ambaye angekuwa anaongelewa ni mhaya kama mie siyo tatzo kwangu kumshauri kijana mwenzetu

Ni lazima tukafahamu kuwa mwanzo wa familia nyingi za kiafrika kuparaganyika sahv ni sisi kujichukulia maamuzi yanayo affect familia zetu kwa ujumla bila kutafuta ridhaa ya familia zetu?mnaonana huko,mnapendana huko kisha mnapelekana

Mwanaume unatakiwa kuwa mwelewa wa haraka juu ya ni binti wa aina gani unadhani wazazi watampenda awe mkeo?siku moja jaribu hata kumsoma mzee saikolojia yake yawezekana hiki hapendi,hiki atakipenda n.k,kwa hili vijana tunakuwa wavivu endapo hatuwezi kusoma saikolojia za wazazi wetu mapema ndo baadae unaleta binti unakuta wazazi wanakuwa wa kwanza kupinga,kwa nini?kwa vile ulishindwa kuwasoma mapema wanataka nini hata kupitia maongezi tu ya kawaida ukaweza kuwatrap mind zao

Najiuliza ww kijana unafurahia nini kuwa na mke ambaye mfano haelewani na mama yako,na inapotokea hyo mda huu wa urafiki wa miezi8 kwa nini usiachane nae kwa masrahi mapana yako na familia yako?

Wanaume ndo tunategemewa kujenga familia na ndo wenye kujenga familia,ni lazima ukae na baba akupe siri za wanawake,ndoa na unavyotakiwa kuwa na mkeo,sasa mzee hataki,mama ndo kabisa...huwa hatuoi tu kutengeneza pesa eti kisa ni mjasiriamali,ww kama Mungu amekuandikia kupata utakuwa tajiri tu,cha msingi waheshimu na kuwasikiliza wazazi wako

Hata siku moja mwanamke hatasema tuachane ila ww ni lazima utizame mbali,anafiti kwenye familia yako,walau wazazi watamkubali.n.k
 
Hapa sidhani kama tunaongelea ni kwa kiasi gani wawili hawa wanapendana na je wanapendana kweli ama hawapendani,tunachojadili hapa ni uhalali wa binti ambaye wazazi hawamkubali,mie ni mhaya lakini hata ambaye angekuwa anaongelewa ni mhaya kama mie siyo tatzo kwangu kumshauri kijana mwenzetu<br />
<br />
Ni lazima tukafahamu kuwa mwanzo wa familia nyingi za kiafrika kuparaganyika sahv ni sisi kujichukulia maamuzi yanayo affect familia zetu kwa ujumla bila kutafuta ridhaa ya familia zetu?mnaonana huko,mnapendana huko kisha mnapelekana<br />
<br />
Mwanaume unatakiwa kuwa mwelewa wa haraka juu ya ni binti wa aina gani unadhani wazazi watampenda awe mkeo?siku moja jaribu hata kumsoma mzee saikolojia yake yawezekana hiki hapendi,hiki atakipenda n.k,kwa hili vijana tunakuwa wavivu endapo hatuwezi kusoma saikolojia za wazazi wetu mapema ndo baadae unaleta binti unakuta wazazi wanakuwa wa kwanza kupinga,kwa nini?kwa vile ulishindwa kuwasoma mapema wanataka nini hata kupitia maongezi tu ya kawaida ukaweza kuwatrap mind zao<br />
<br />
Najiuliza ww kijana unafurahia nini kuwa na mke ambaye mfano haelewani na mama yako,na inapotokea hyo mda huu wa urafiki wa miezi8 kwa nini usiachane nae kwa masrahi mapana yako na familia yako?<br />
<br />
Wanaume ndo tunategemewa kujenga familia na ndo wenye kujenga familia,ni lazima ukae na baba akupe siri za wanawake,ndoa na unavyotakiwa kuwa na mkeo,sasa mzee hataki,mama ndo kabisa...huwa hatuoi tu kutengeneza pesa eti kisa ni mjasiriamali,ww kama Mungu amekuandikia kupata utakuwa tajiri tu,cha msingi waheshimu na kuwasikiliza wazazi wako<br />
<br />
Hata siku moja mwanamke hatasema tuachane ila ww ni lazima utizame mbali,anafiti kwenye familia yako,walau wazazi watamkubali.n.k
<br />
<br />
duuh! Shukran,niliongea nae..unajua miez8 ni kipindi kifupi kwenye mahusiano lakin ki mtazamo2,she is a gud woman kiukweli,tatzo wazaz wana ile cöncept ya uchaga wake,nway ngoja niendelee kupata mawazo kaka.
 
hivi huu ni ushauri kweli .? kwanini kama unaona una hasira kwa wakati huo usikae kimya au ndio kila kitu lazima uchangie mweeeeh.<br />
busara zaidi inahusika hata kama ni kabila lako linahusika unapotoa ushauri
<br />
<br />
huyu nae ni mchaga mkuu,imemuuma...lakini hajui ndo anazidi kuudhihirishia umma kuwa tabia zao sio nzuri,kwa majibu tu anayomjibu mwanaume,mbaya zaidi ni asiyemfahamu,kwel kuishi na mwanamke bila bakora ndani ni kosa kubwa sana wanaume wenzangu,hawa kwa kichapo ndo mnaelewana na si mazungumzo.
 
Back
Top Bottom