Mafikizolo
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 3,487
- 1,626
Mupoooooo wajameni basi sawa!
Kuna mama mmoja kaiacha hoi anasema eti vijana wa siku izi kazi wawaiwezi wawapo 6*6 kwani unaweza ukawa na kijana ukijua atakufikisha kunako kumbe akupaka shombo tu ukasema bola ya mzee wako uliye muacha nyumbani, nikajua tu huyu mama nimchepuko.
Sasa sijui kuwa hili swala lina ukweli wowote wajameni hebu tirirka hapa.
Kuna mama mmoja kaiacha hoi anasema eti vijana wa siku izi kazi wawaiwezi wawapo 6*6 kwani unaweza ukawa na kijana ukijua atakufikisha kunako kumbe akupaka shombo tu ukasema bola ya mzee wako uliye muacha nyumbani, nikajua tu huyu mama nimchepuko.
Sasa sijui kuwa hili swala lina ukweli wowote wajameni hebu tirirka hapa.