Eti nimshike kote lakini kifuani `no`

Eti nimshike kote lakini kifuani `no`

tatizo ni ulimuoa akiwa bikra! mabikra wengi ni wasumbufu na si wabunifu! kwa uzoefu wangu usimuache mkeo ..jaribu kumfundisha na kumuambia uanayotaka kufanyiwa!..the good thing about women wa namna hiyo ni adaptability yao kujifunza mambo mageni kama ukiwafunza maana kwako kote ni ugeni..so jitahidi tu atakuelewa
 
tatizo ni ulimuoa akiwa bikra! mabikra wengi ni wasumbufu na si wabunifu! kwa uzoefu wangu usimuache mkeo ..jaribu kumfundisha na kumuambia uanayotaka kufanyiwa!..the good thing about women wa namna hiyo ni adaptability yao kujifunza mambo mageni kama ukiwafunza maana kwako kote ni ugeni..so jitahidi tu atakuelewa
Mtu Mzima Unaanzaje Kumbembeleza Wakati Anajua Yanayojiri
 
Mimi ni kijana ambaye tangu nilipooa nimemaliza mwezi mmoja na siku mbili,awali kabla sijaoa nilikuwa na uhusiano na wasichana wawili ambao niliachana nao ndipo nikamuoa huyu niliyenaye ambaye mimi ndiye mwanaume wake wa kwanza.

Kinachonisibu hadi nimeamua niombe ushauri kwenu ni tabia ya mke wangu kutopendwa kabisaa kushikwa kifuani tunapokuwa eneo letu la kujiachia, yaani nikifanya hivyo anakuwa mkali sana na kuhamia katika kitanda kingine. Ukiacha hilo, pia hapendi tupeane mabusu,kitendo hicho kinaninyima raha ya mapenzi hadi najuta kwanini nimemuoa au nimuache ?

Nnaombeni ushauri wadau
Toa icho kitanda kingine anachohamiaga
 
Ndio madhara ya kuoa vifaranga wakati mitetea ipo
Kila Nikitafta Mwanamke Lazima Nikutane Na Mambo Ya Ajabu Na Hao Matetea Wengi Hawako Seriouc Bado Wanapenda Ujana Hawajaumaliza
 
Bado mapema usiwe na haraka. Miezi miwili si muda mrefu ukizingatia kwamba lengo ni hadi mwisho wa safari na sio mwaka mmoja.
 
Back
Top Bottom