Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Eti ni kweli serikali imetenga mil.700 kwa ajili ya kuua kunguru?
ni swali nauliza na wala sio taarifa rasmi.
ni swali nauliza na wala sio taarifa rasmi.
hv ni kwel serikal imetenga Mil. 945 kwa ajili ya kununua kalamu za mawaziri? jaman na mi nauliza swali tu wala sio taarifa
Hvi ni kweli serikal imetenga billion 50 kwa ajili ya msoc wa jk pale magogoni?
Eti ni kweli serikali imetenga mil.700 kwa ajili ya kuua kunguru?
ni swali nauliza na wala sio taarifa rasmi.
Mkuu aikaruwa wewe ndio great thinker..wengine naona wameniletea mzaha ...hii taarifa niliipata kutoka kwa watu wa ngazi za juu sema ndio hivyo nimeshindwa kuthibitisha..inawezekana coz huku niliko naona kuna pikipiki zina matangazo ya kutokomeza kunguru duh ss if hiyo amount ni kama hiyo kwa nn wasingesema atakaekamata kunguru wawili ni elfu 5 mi naamini hata graduates wangeshiriki tena hata mwezi hautaisha hatutawaona tena hao kunguru