MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
Nimepigiwa simu na majamaa zangu nikaambiwa juzi OLEMEDEYE GOODLUCK (naibu waziri) alipata kizazaa kijijini Shambarai mbuguni baada ya mkutano wake wa kampeni kuibuka vurugu? na vijana kuanza kumpayukia 'atokeee, aendee, tokaaa,..' Hebu niakikishieni hiyo nijue moja.