Naombeni Tujuzane wadau!
Pamoja na vipimo vya madakitali kuwepo: Nasikia kuna wakati huwa vinadanganya!
Madakitali nao kwa namna moja au nyingine saingine hupitiwa na kukosea kwa kuidhinisha Mtu kufariki.
Eti ni kweli Inapotokea bahati nzuri mtu akazinduka mochwari nasikia huwa wanamalizia ili kulinda vibarua vya walioidhisha!
Nasikia mgonjwa anaezinduka humaliziwa kwa sindano au Rungu la kichwa chap!!
Je; ni kweli?
Pamoja na vipimo vya madakitali kuwepo: Nasikia kuna wakati huwa vinadanganya!
Madakitali nao kwa namna moja au nyingine saingine hupitiwa na kukosea kwa kuidhinisha Mtu kufariki.
Eti ni kweli Inapotokea bahati nzuri mtu akazinduka mochwari nasikia huwa wanamalizia ili kulinda vibarua vya walioidhisha!
Nasikia mgonjwa anaezinduka humaliziwa kwa sindano au Rungu la kichwa chap!!
Je; ni kweli?