Habari wadau,
Mambo ya kifo wakati mwingine huwa yanafanyika haraka haraka sana hadi huwa najiuliza, ili mtu athibitike kuwa kafariki dunia, ni sehemu gani ya mwili hupimwa? Maana huko mochwari wakati mwingine huwa kuna watu wanakohoa au kuzinduka lakini shida ni pale daktari anakuwa tayari kashasaini "Dead body" kumbe mtu anakuwa yupo kwenye koma au kuzimia.
Tena baadhi ya tetesi zinasadikika kwamba ikitokea mtu maiti ikazinduka ili kunusuru skendo inaweza nyongelewa mbali au kupigwa rungu la kichwa ili ifilie mbali. Swali, kipimo gani hutumika kuthibitisha kifo?
Pia je ikitokea maiti imezinduka huko mochwari, wafanyakazi wa mochwari wana elimu yeyote ya kuokoa?
Maana huwa sielewi mfanyakazi wa mochwari anashika rungu mkononi la nini? Maana story za mtaani nasikia mochwari maiti ikikohoa humaliziwa.
Mwenye kujua atuelimishe.
===
Baadhi ya majibu
Mambo ya kifo wakati mwingine huwa yanafanyika haraka haraka sana hadi huwa najiuliza, ili mtu athibitike kuwa kafariki dunia, ni sehemu gani ya mwili hupimwa? Maana huko mochwari wakati mwingine huwa kuna watu wanakohoa au kuzinduka lakini shida ni pale daktari anakuwa tayari kashasaini "Dead body" kumbe mtu anakuwa yupo kwenye koma au kuzimia.
Tena baadhi ya tetesi zinasadikika kwamba ikitokea mtu maiti ikazinduka ili kunusuru skendo inaweza nyongelewa mbali au kupigwa rungu la kichwa ili ifilie mbali. Swali, kipimo gani hutumika kuthibitisha kifo?
Pia je ikitokea maiti imezinduka huko mochwari, wafanyakazi wa mochwari wana elimu yeyote ya kuokoa?
Maana huwa sielewi mfanyakazi wa mochwari anashika rungu mkononi la nini? Maana story za mtaani nasikia mochwari maiti ikikohoa humaliziwa.
Mwenye kujua atuelimishe.
===
Baadhi ya majibu
How To Tell If A Person Is Actually Dead
Don’t laugh, people have woken up in morgues over less.
Fear of being buried alive, or “taphophobia” for those wanting to impress dinner party guests, was a genuine concern in the 18th and 19th century, leading to the invention of safety coffins. Medical advancements over the past few centuries have made this more of an irrational phobia than a reality, but there’s always stories surfacing about living people pronounced dead.
The odds that you’re going to come across a seemingly lifeless body are hopefully slim, but it doesn’t hurt to know some reliable methods to make sure a person is actually dead. If it’s an actual emergency you should always call 911 immediately, but if you want to provide the dispatcher with useful info you might need to do a little more than just kick the body a few times. Here’s what you do…
1. Kick Them
OK, OK, don’t kick the possibly dead body. But you should gently poke or shake them. It’s not entirely foolproof however, as an unconscious person may not respond at all, and a corpse may emit air or other noise that would indicate signs of life.
2. Check for a Pulse
Hold your fingertips to the person’s wrist or on either side of their neck and see if you can feel for any sign of a beating heart. Again, this can often be difficult (even for pros) so no pulse doesn’t necessarily mean they are gone for good.
3. The Old Mirror Trick
It’s a gag used in a lot of old movies, but it works. Hold a tiny mirror under the person’s nose and see if the glass fogs up. If you don’t have a mirror, use any glass-based surface like sunglasses or a powered-off cell phone screen. So long as it’s a dark reflective surface so you can easily see the fog.
4. Shine a Light
Using a flashlight, direct the beam straight into the eye. If the pupil constricts, they’re probably alive. No response isn’t a good sign. If you don’t have a flashlight handy, use a flashlight app on a cell phone. (Who knew cell phones would be this handy for diagnosing death?)
5. The Sniff Test
If you happen to have an onion handy, cut it in half and hold it in front of the person’s nose. The pungent odor will work like smelling salts and likely jolt the person awake…if, in fact, they are still with us.
6. The, Um, Other Sniff Test
It’s not pleasant, but often a body will release urine and excrement when it expires (not all the time, it kind of depends on how full the bladder or intestines were before the person passed), so soiled pants are another indication of the person being deceased.
How Doctors Pronounce Someone Dead
Apart from performing many of the tests above, though with more reliable and expensive equipment, doctors or paramedics on the scene use technology. They hook a body up to machines that monitor heartbeat, brainwaves, and respiration. If you’ve ever watched a medical show you know exactly what they’re looking for: A flatline. Doctors may also do an ultrasound to see if there’s any heart activity.
Kifo kinapotokea hospitalini ni lazima Daktari aliyeko zamu aweze kuthibitisha kwa kufanya uchunguzi kabla ya kutangaza kifo kwa ndugu wa karibu. Hata kama wauguzi au ndugu wa karibu wakihisi kwamba mtu kaishafariki, hairuhusiwi kuondoa maiti kuipeleka chumba cha maiti kabla wataalamu hawa wawili kwa maana ya madaktari na manesi hawajamaliza taratibu muhimu kabla ya kutoka amri ya kupelekwa chumba cha maiti.
Taratibu za kuuchunguza mwili kwa makini kama mtu bado anapumua hufanywa na Daktari kwa dakika zisizopungua tano, kwa kuangalia uso,pua na kifua. Hatua inayofuata ni kupapasa mapigo ya moyo kwenye mkono kama yapo, kusikiliza mapigo ya moyo kwa kutumia kifaa cha kusikilizia moyo na mapafu na hatimaye kupiga tochi machoni kujihakikishia kama macho yanatoa dalili za uhai baada ya kupigwa na mwanga mkali.
Baada ya kumaliza uchunguzi wa Daktari zinafuata taratibu za kiuguzi za kumtayarisha marehemu kwenda kuhifadhiwa katika chumba cha maiti na hapa inatakiwa yapite masaa kati ya manne au sita tangu kutangazwa kifo ndipo maiti ipelekwe chumba cha maiti au wakabidhiwe ndugu wa marehemu.
Kwa kawaida moyo ukisimama kufanya kazi yake kuna dakika tano tu za kujaribu kupambana ili kuokoa maisha ya mtu vinginevyo baada ya dakika tano seli za ubongo hufa. Ukisikia mtu eti ameonyesha dalili za kuwa hai baada ya kufika chumba cha maiti basi ujue taratibu hazikufuatwa ili kujihakikishia kama kweli mtu amekwisha kufa. Isitoshe kuna mashine zinazounganishwa kwenye mwili wa binadamu ili kukusanya taarifa za mwenendo wa mgonjwa, kifo kikitokea zinaonyesha kabisa kuwa baadhi ya viungo havifanyi kazi tena.
Daktari huthibitisha kwamba mtu ameshakufa kwa kupima vital signs ambazo ni BP, RESPIRATION, PULSE RATE na TEMPERATURE. Normal blood pressure ni 120/80 mm/hg kwa mtu mzima lakini akifa inasoma 00/00 mm/hg.Normal RESPIRATION ni 17 rates hadi 20 rates per minute lakini mtu akifa respiration inasoma zero rates.Normal pulse rate ni 60 hadi 80 beats per minutes lakini akifa itasoma zero beats na normal body temperature ni 37° centigrade lakini mtu akifa temperature inakuwa chini ya 37°C hata kufikia 0°Centigrade.Hivi vitu 4 vikiacha kufanya kazi ni uthibitisho tosha kuwa mtu ameshakufa.