Eti mfamasia na clinical officer

Eti mfamasia na clinical officer

Km unafkiria kuhusu ajira bora ukasome clinical officer cku akili za kuajir zikirud serikalin utapata ajira lkn kwa famasia labd ukajiajir tu mkuu
Nani kakudanganya pharmacy haina ajira serikalini?
 
Pharmacy diploma au degree? Kama ni degree pharmacy haina mshindani haya MD cha MTOTO! Lakini kama ni diploma nenda clinical officer inalipa zaidi katika maisha japo mshahara ni sawa!
mkuu hebu toa ufafanuzi kidogo salar ya kawaida kwa pharm wa diplm na diplom ya clinical officer
 
kuna vyuo unaweza ukachukuwa certificate na diploma miaka 4 wale walio maliza form 4 ambao hakupitia A' level
Acha kupotosha umma tangu lin diplom ikasom kwa 4 year utaratibu uko hv unasom cerfcate kam hun sifa za kwenda moj kwa moj diplom ila cerfcate unasom kwa miak 2 then unamalizia dip for one year
 
Cerfcate ndio nn?
Acha kupotosha umma tangu lin diplom ikasom kwa 4 year utaratibu uko hv unasom cerfcate kam hun sifa za kwenda moj kwa moj diplom ila cerfcate unasom kwa miak 2 then unamalizia dip for one year
 
Daaah! Jamaa ana moyo sana,hakati tamaa licha ya kejeli za watu humu lazma atakua na roho ya Jk huyu
 
Je ni chuo gani kinzur kwa kuandaa clinical officer wanzur cha gavern bila kujal mkoa gan ni je kozi hyo una ugumu gani na nispecialist kwa nn
kama unataka elim bora nenda private huko gvt kitu bora ni ajira tu
 
Back
Top Bottom