Eti leo sherehe za Eid zimeanza?

Eti leo sherehe za Eid zimeanza?

Wakati mwingine huwa unayataka matusi pasipo sababu. Au ndio umeshafungulia tuingie kilingeni?

Tukana basi!.
Kwani mtu kusema Kule kukosekana foleni za magari kariakoo huenda ikawa Yesu anakuja Hapo Dar ni matusi?
Kwani nyie wagalatia si kila siku mnasema Mnampokea Yesu?
Sasa akitokea kikweli kweli si ndio itakuwa safi zaidi! Au?

Manake sasa mnatuchanganya sana.
 
Tukana basi!.
Kwani mtu kusema Kule kukosekana foleni za magari kariakoo huenda ikawa Yesu anakuja Hapo Dar ni matusi?
Kwani nyie wagalatia si kila siku mnasema Mnampokea Yesu?
Sasa akitokea kikweli kweli si ndio itakuwa safi zaidi! Au?

Manake sasa mnatuchanganya sana.

Mwezi umeandama dampo la IMTU, nenda kafuturu wenzio wamerundikana huko
 
Mwezi umeandama dampo la IMTU, nenda kafuturu wenzio wamerundikana huko

We unaonekana kwenye vilio na sherehe za waislamu Huchezi mbali!
Yaani timetable yote UNAIJUA!

Nikikukamata kwenye maeneo yetu basi lzm Utapike pilau yetu yote!

Kitimoto .com wahedi we!
 
We unaonekana kwenye vilio na sherehe za waislamu Huchezi mbali!
Yaani timetable yote UNAIJUA!

Nikikukamata kwenye maeneo yetu basi lzm Utapike pilau yetu yote!

Kitimoto .com wahedi we!

Kuna mashehe wamrjazana hapa IMTU
 
Jamani naskia pengo ni chizi eti ni kweli wajameni
 
jamani hoja inahusu kukosekana kwa folen hapa mjini
malumbano ya kidini hayahusiki hapa, naomba tusimame kwenye mada!
Ahsanteni!!
 
jamani hoja inahusu kukosekana kwa folen hapa mjini
malumbano ya kidini hayahusiki hapa, naomba tusimame kwenye mada!
Ahsanteni!!

Upo sawa kabisaa
 
wadau wa kitimoto,leo kuna uhaba wa mnyama.sijui wenzangu wapi mwapata?Hii mbezi beach,kawe na kunduchi hakuna kabisa
 
wadau wa kitimoto,leo kuna uhaba wa mnyama.sijui wenzangu wapi mwapata?Hii mbezi beach,kawe na kunduchi hakuna kabisa

We mkuda wa mbagala unatafuta nini mbezi beach?
Nyie si ndio vibaka mnaopigwa vibiriti ovyo!
We sogea mitaa yangu nikuvishe tairi tu.
Kambbaff mmoja.
 
Back
Top Bottom