Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,648
Ngebe nyiiiiingi, kumbe kisirisiri mnashoboka na Marekani pamoja na vitu vyake.
Sasa kama kuna uhaba wa $ nchini ndo nini sasa? Si na nyinyi mna sarafu yenu.
Wapumbavu wakubwa nyie. Kila mara kujifanya hambabaishwi na Marekani.
Marekani hivi, Marekani vile. Marekani maisha yake magumu. Tanzania maisha yake mazuri.
Blah blah blah blah blah.
Sasa mnalia lia eti $ imeadimika. Si mtumie hiyo mihela yenu tu. Watu mna mihela yenu hiyo mishilingi halafu mnashoboka na hela za watu wengine!
Mna akili kweli nyinyi? Acheni kubabaikia pesa za watu.
Use your own doggone currency you stupid mfers.
Stop whining. Suck it up buttercups.
Sasa kama kuna uhaba wa $ nchini ndo nini sasa? Si na nyinyi mna sarafu yenu.
Wapumbavu wakubwa nyie. Kila mara kujifanya hambabaishwi na Marekani.
Marekani hivi, Marekani vile. Marekani maisha yake magumu. Tanzania maisha yake mazuri.
Blah blah blah blah blah.
Sasa mnalia lia eti $ imeadimika. Si mtumie hiyo mihela yenu tu. Watu mna mihela yenu hiyo mishilingi halafu mnashoboka na hela za watu wengine!
Mna akili kweli nyinyi? Acheni kubabaikia pesa za watu.
Use your own doggone currency you stupid mfers.
Stop whining. Suck it up buttercups.