miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
oyeeeeeeeeeeeeee................juu juu juu juu zaidi. Mie baada ya kukutana na kibamia nimepata aleji ya mihogo. Jamani ni katamuuuu. Tukichuma mchicha napagawa mpaka nalia. Sijui nilichelewa wapi kukigundua. Pamoja na maujuzi ya huyu m-bamia, nimehitimisha bamia ndiyo inayonifaa. Nimehitimisha pia kuwa mihogo haipanui size ya K kwani toka nimeanza kula mihogo ni muda mrefu. Sasa mbona kibamia kimeenea? Shurti K na M zioane. Halafu ni kibamia kweli maana nilivyokiona nilishikwa na mshangao halafu nikabanwa na kicheko lakini nikaondoka nimechanganyikiwa! Mijihogo hiyo badala ya kugonga kwenye utamu inapitiliza mpaka kwenye cervix! Nani anaitaka!
cc:dikembe ... umeona ushuhuda huo... vibamia oyeeeeeeeeeeeeeeeee