eti wachaga Wamezoea pesa mpaka ukiwauliza saa badala ya kusema kamili wanasema kesh(mfano ukiwauliza ni saa ngapi, kama ni sasaba kamili wanasema sasaba kesh!!
eti wachaga Wamezoea pesa mpaka ukiwauliza saa badala ya kusema kamili wanasema kesh(mfano ukiwauliza ni saa ngapi, kama ni sasaba kamili wanasema sasaba kesh!!
Jamaa wana JF hili ni jukwaa la utani sioni kama tatizo hapo kwa mtoa hii thread, mbona makabila mengi yanataniwa humu, au kwa sababu kawatania nyinyi wakimbizi (wachaga).
<br />
<br />
tehe tehe tehe tehe.....bwana mdogo we mganga nini?unatabiri mpka miaka ya watu.ha ha ha ha...nimekuona hapa kwenye luninga ya asili nitakushughulikia badae kwa dharau zako.