Eti hii ndio CHADEMA inayokufaa!!!

Eti hii ndio CHADEMA inayokufaa!!!

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,159
Reaction score
162,581
1591390269140.png


Mchoraji wa hii katuni awe macho na watu wasiojulikana.

Kingine namshauri aache uchcochezi.
 
Tusubiri hiyo October tuone nani atakua na mafuriko, mbona majibu yatapatikana tu.
 
Ife tu haina tija, chadema imebaki na kazi ya kupinga maendeleo.Kwanza siyo chama kile ni saccos tu inayowanufaisha wachache.
 
View attachment 1469801

Mchoraji wa hii katuni awe macho na watu wasiojulikana.

Kingine namshauri aache uchcochezi.
Salary Slip na Mchora Katuni! Lenu moja! Ndo mumesababisha Serikali ya CCM ilazimike kupeleka Bungeni Mswaada wa sheria ya kutulazimisha Watanzania kumiliki laini moja tu ya Simu.
 
Nimeona CCM, NCCR na CUF ila huyo wa nne sikumuona nani mwenye kumjua anisaidie
 
Hivi bado kuna watu wanaamini Chadema ipo? Ina maana mtu anaweza kuwa na imani kiasi cha kuamini tena uwepo wa chadema? Hich kifo chao mbona kimekuja automatically tuu.
 
Back
Top Bottom