Eti hawa jamaa ndio wanaitishia Marekani 😂😂😂

Eti hawa jamaa ndio wanaitishia Marekani 😂😂😂

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,442
Reaction score
28,760
20250317_125352.jpg


Masikini, vijana hawa ni wafu watarajia kwa sababu ya kuwa wahanga na watumwa wa itikadi za watu binafsi amabao asili yao ushujaa wa kipuuzi.

Mtu anasema anaipigania dini, mara anaipigania palestina, mara sijui blah blah nyingi, mara ya mwisho yeye kujipigani ni lini????

HOUTHI NI UTAPELI,

Wameshaanza kuyakanyaga tayari
20250317_130423.png

20250317_130417.png
 
Hao Wamarekani wanabebwa na teknolojia tu. Ila wakiingia kwenye uwanja wa vita, uwezo hawana. Na ushahidi mdogo tu ni kwenye vita waliyopigana na Vietnam miaka ya 1970's, vita yao dhidi ya Taliban Afghanstan, nk.
 
Hao Wamarekani wanabebwa na teknolojia tu. Ila wakiingia kwenye uwanja wa vita, uwezo hawana. Na ushahidi mdogo tu ni kwenye vita waliyopigana na Vietnam miaka ya 1970's, vita yao dhidi ya Taliban Afghanstan, nk.
Hakuna alie wakataza wahuthi wasijijenge kiteknolojia 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom