Eti hapa nilikosea nini?

Shida ulidate na mdangaji, ukamtreat mdangaji kama wife to be.

Hao,fanya kama unanunua weka pesa mezani, piga mzigo pita hivi, unajua kabisa atakuja mwenzangu ataweka mzigo mezani atapiga nae atapita.
Hapo hakuna stress,hakuna mawazo ya kuchitiwa.
 
Hiyo ni roho ya kimaskini tu, nimekumbuka kuna kesi tuliikuta polisi jamaa kavunja choo alichomjengea mwanamke kisa wameachana.
 
Tulisha kubaliana mwanamke akikucheat na ukagundua hupaswi kumsamehe hatakidogo kwani kufanya hivyo ni kumpa nafasi ya yeye kurudia kosa kwa uangalifu na tahadhari zaidi.

Umekosa akili na bado umevunja sheria na taratibu za katiba ya wanaume.


Uache kusinzia kwenye vikao tena na uwe unakaa kiti cha mbele kabisa.
 
Kuchukua vitu ulivyompatia sio shida na wala sio ushamba mshamba ni demu mwenyewe, tatizo lilianza mara baada ya kujua anakucheat bado ukaendelea kuwa nae na bado ukataka kuongezea mengne kumuinua ili pengine akitaka kuliwa aliwe akiwa kwenye sehemu nzuri maana kama anauza vilevi nae ni mlevi na ataliwa na walevi wenzake kama ulivyosema kuwa alikuwa anatoka na moja ya wateja wake maisha haya bhn unamfungulia mtu biashara anaolewa na mteja wake ila usiwaze sana hio ni moja ya customer care 😀
 
Kusinzia kwake kweny vikao tutamtoza faini
 
Mnaacha kusomesha watoto na kuwalisha vzuri wakue kwa afya mnaenda kuzingatia bitches........Karudie tena kwengne Kiongoz
 
Huna baya ishi mpaka uone tamati ya mkataba wa bandari..
 
Hela huwa haionekani kwa macho na ni kama gharama ya service yake kwangu after all itaisha atasahau, ila vile vitu vingine angekuwa akiviona angesema nilimpora fala, hicho ndicho sikutaka
Mkuu songa mbrle achana na hawa wapuuzi humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…