Eti hapa kuna ukweli wowote kwamba.............

Eti hapa kuna ukweli wowote kwamba.............

mmezidi kutuzalilisha jaman yaan khaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana..!!hamudhalilishwi nyinyi ndo Maua ya ulimwengu huu lazima mmzungumziwe,mkodolewe macho a.k.a kusafisha mijicho n.k kwa mwanamke sisi midume hatuwezi kuepuka kuwazungumzia kwa sababu hii ni natural sawa bibie
N.B:Mimi huwa napenda kupozi sehemu za barabara ili kusafisha macho..!!!sehemu ambapo hawapiti warembo huwa sikai kabisa yan...
 
Seduce me like whatttt?.......Like zilipendwa

Akili za usiku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom