Bralicom
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 572
- 391
Hizo ndo zenyewe unakibetua kidogo tu ila suala la nundu kuwa kubwa si kwe kama mtu kajaaliwa nundu ya maana asiziseme hiyo mamboEti ' Wadau ' wa ' Mahaba ' kuna ukweli wowote ule kwamba uvaaji wa Chupi za G-string ( zile zenye tukamba ) umesababisha sana ' maumbile ' ya Sirini kwa Mwanamke ( namaanisha Mbunye zao / Uke wao ) kuongezeka ukubwa?
Kuna mahala nimeidaka hii na nikasikia ' Wabobezi ' wa ' Mbunye ' wakisema kwamba moja ya sababu kubwa inayopelekea hayo ' maumbile ' ya ' Ukeni ' kuongezeka ukubwa ni kale ka ' tukamba ' ka Chupi hiyo ya G-string ambako mara nyingi Mwanamke anapokuwa kaivaa / kaitinga husugua sugua pale ' Mbunyeni ' hivyo kupelekea taratibu kuongezeka kwa ' sentimita ' chache za ramani nzima ya ' Uke ' kutoka katika ile ramani ambayo ilichorwa na ' Maulana ' mwenyewe.
Nimeona si vibaya nikalileta hili kwenu wana JF ' Wabobezi ' ili nami GENTAMYCINE niweze ' Kuelimika ' kidogo kwani hata Mimi nimeanza kuona kuwa siku hizi ' Vinu ' vingi sana ninavyovitwanga ' Mchi ' ninaoutumia huwa kama vile ' unapwaya / unaelea ' na bahati mbaya sijui nzuri karibia 95% ya ' Vinu ' vyangu ninavyovitwanga siku hizi vinatumia mno ' Chupi Tukamba / G-string '.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app