Eti chupi kazi yake nini?

Eti chupi kazi yake nini?

mkurugenzi1

Senior Member
Joined
Mar 22, 2009
Posts
122
Reaction score
28
Eti chupi kazi yake nini? Ukivaa haijulikani, usipovaa haijulikani, ikionekana unaambiwa umekaa uchi, ukikaa uchi utasikia hujavaa chupi, sasa hapo chupi ya nini?jamani kama sio kuoneana??
 
kazi ya chupi kamuulizie yule mtu wa kwanza unayemfahamu wewe aliyekununulia na kukwambia uvae
 
gud point...ndio maana mastar wa kike na magoma mtaani wanatembea bila hizo chupi
 
zamani ilikuwa ili ushike kalio kwa wasichana ilibidi ufunue chupi kwanza.,, ila siku hizi ili kuipata chupi lazima ufunue kalio(bikini)
hakuna umuhimu tena mjomba,,
 
inasaidi sana hasa kwa wanaume kuholidi korodani hasa pale unapoluka sisipate shock. kwa wadada cjuii
 
naona kazi yake ni kushikilia makalio mana wenye makalio makubwa usipovaa ni vibration tu xema xaxa iyo ya kamba kazi yake bado ni tata
 
mmm jibuni wenyewe" maswali mengine nisawa na kuulizwa kuwa nani aliyekufundisha kufanya mapenzi? baada ya kubalehe ? hivi utajibuje?
 
Back
Top Bottom