Eti CHADEMA Ni Chama Cha Mitandaoni...

Eti CHADEMA Ni Chama Cha Mitandaoni...

CHA The GREAT

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
651
Reaction score
854
Utasikia mtu anasema, CHADEMA ni chama cha mitandaoni, kwamba haki-reflect wanachama hai. Sasa mimi huwa najiuliza, kama CHADEMA ni chama cha mitandaoni, ina maana hao wa mitandaoni si Watanzania?
 
Utasikia mtu anasema, CHADEMA ni chama cha mitandaoni, kwamba haki-reflect wanachama hai. Sasa mimi huwa najiuliza, kama CHADEMA ni chama cha mitandaoni, ina maana hao wa mitandaoni si Watanzania?
Ni watz. Ila si wapiga kura. Wengi wao kura zao wanapigia mitandaoni,kisha wanajipa imani wataishinda ccm. Na wanapoona matokeo ni tofauti,hudai wameibiwa
 
Kama chama cha mitandaoni marungu, mapanga, visu na bunduki ya nini? Kwanini wahofie katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi kushindana na chama cha mitandaoni ambacho mtaani hakijulikani wala hakina nguvu!?

Tafakari kwa kina Mkuu.

Utasikia mtu anasema, CHADEMA ni chama cha mitandaoni, kwamba haki-reflect wanachama hai. Sasa mimi huwa najiuliza, kama CHADEMA ni chama cha mitandaoni, ina maana hao wa mitandaoni si Watanzania?
 
Ni kweli CHADEMA kimebaki kupiga porojo mitandaoni ndio maana uchaguzi kinashindwa wapiga kura wake wako mitandaoni huku mitaani hawako kabisa
Na wengine wanapiga porojo hizo hizo mtandaoni tangu 2007 lakini hawachoki tu. Bado wanaamini watashika dola hewa.
 
Chadema kimepoteza Sifa ya kuwa Chama cha siasa
 
Hawa ndio Think Tank wa Lumumba wanakuja na hoja kama hizi....
 
Kama ni chama cha mitandaoni kwani walioko mitandaoni ni ngedere??. Naenda kuwathemea kwa Da Mange
 
Back
Top Bottom