CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 854
Utasikia mtu anasema, CHADEMA ni chama cha mitandaoni, kwamba haki-reflect wanachama hai. Sasa mimi huwa najiuliza, kama CHADEMA ni chama cha mitandaoni, ina maana hao wa mitandaoni si Watanzania?