Tume yetu ya Lubuva ni kichekesho kura huwa siri kama jando, wenzetu walikuwa wanatoa matokeo LIVE bila kusubiri maelekezo toka juu.Hii ni kanuni ya maisha "MWIZI HUA HAMUAMINI MTU YEYOTE " na hudhani kila mtu ni kama yeye.
IEBC imepiga hatua mbali kabisa ukilinganisha na kitengo hiki cha Magogoni cha (NEC). Hapa kwetu ni zaidi ya aibu.
Cairo's
Kwani nyie mnaolia jaruo kaibiwa kura mnapata nini.We mwehu kweli ...sasa uhuru ameshinda ww unapata faida gani ? tuliza mawenge ww
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama imekuuma sana kunywa sumu upumzike kwa amani.Kafe mbele chukua familoa yako nenda kajfunza kenya umekunywa mbege unaropokwa upuuz
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mtaje aliyetoa tamko la CCM kulalamika.Nilitaka wakenya ndio walalamike sasa CCM imewauma nini Odinga kubwagwa.
mwambien babu yenu wa Chato asikose innaguration ceremony ya Kenyata mwambie wivu haijengi Kenya bado maendeleo itasonga km mwanzoAcha unafiki, hakuna mwa CCM aliyelalamika. Mod 4 ondoeni huu uzi, maana hakuna ushahidi wa CCM aidha kupitia katibu mkuu au katibu mwenezi au mwenyekiti wa CCM kutoa tamko la hicho alichokiandika mleta mada.
Kwanini CCM haikuipeleka TOT kumfanya kampeni Odinga, nakumbuka enzi hizo TOT-CCM ilikuwa ikienda Malawi na Msumbiji kufanya kampeni.Umenena kabisa ewe lofa. Maana nyie kila siku mnalia lia kwa vitu visivyo wahusu. Mfano ya Kenya yanawahusu nini? Mbona mlimpeleka mpaka fisadi nyeupe kwenda kushadadia vitu visivyomhusu?
Tume yetu ya Lubuva ni kichekesho kura huwa siri kama jando, wenzetu walikuwa wanatoa matokeo LIVE bila kusubiri maelekezo toka juu.
NASA waliomba IEBC irudie kujumlisha kwa kutumia fomu za vituoni ikarudia kitu ambacho hakiwezekani kutokea Tanzania.
Acha ukengeuku,who are you?Small fish in the pond unabisha nnAcha unafiki, hakuna mwa CCM aliyelalamika. Mod 4 ondoeni huu uzi, maana hakuna ushahidi wa CCM aidha kupitia katibu mkuu au katibu mwenezi au mwenyekiti wa CCM kutoa tamko la hicho alichokiandika mleta mada.
Mkuu hata mimi namsubiri Mkiti wa CCM ampongeze president-elect Uhuru Kenyata.Mkuu mtaje aliyetoa tamko la CCM kulalamika.
Team makinikia mmepaniqTusubiri 2020 tuwasikie mkitaka kukimbilia the Hague!
Washangae wanaCCM wanaolialia.Hizi stori za vijiwe vya kahawa unaleta huku.
Raila anaihusu nini CCM?
Hongera sana IEBC kweli ni wazalendo. Mungu awabariki. Odinga amebebwa sana na Tume kwa maana kila lalamiko alilolitaka IEBC wamemtekelezea tofauti na huku Tanzania ilivyokuwa 2015.Kenya kupitia tume yao ya uchaguzi IEBC wameionyesha dunia kumbe Waafrika tunaweza kuendesha uchaguzi wetu ulio huru wa haki na uwazi (transparent election) bila kuingiliwa na mataifa ya nje.
CCM na tume yetu ya uchaguzi NEC wana mengi ya kujifunza kutoka Kenya, waache kulialia kuwa Odinga ameibiwa kura, kwa vile hadi sasa hakuna aliye na ushahidi wa wizi huo.
Nani asiyejua CCM ni mabigwa wa wizi wa kura wamejaribu kupeleka mbinu hizo Kenya wamegonga mwamba ndipo wanalalamika.
CCM wanatoa wapi upendo kwa mgombea wa upinzani Raila Odinga, mbona 2015 wakati Lowassa akidai kura zimedukuliwa hamkujitokeza kama mnavyojitokeza leo kuitaka NEC itumie fomu kutoka vituoni kujumlisha kura, mbona hamkufanya hivyo kwa Maalimu Seifu aliyedai kashinda na matokeo yake kufutwa. Acheni unafiki.
Odinga kwa mwamvuli wa NASA alipewa kila alichoomba,
Aliomba tume huru akapewa IEBC,
Aliomba mikutano huru hakubughudhiwa na polisi yeyote,
Alimkosoa rais Uhuru kwa kadri alivyopenda hakukamatwa na mtu.
Aliomba wafungwa waruhusiwe kupiga kura akapewa.
Aliomba wakenya waishio nje wapige kura akapewa.
Aliomba kura zihesabiwe upya kwa kutumia fomu 34A 34B IEBC wakarudia.
Sasa CCM mnavyolalamikia matokeo mlitaka rafiki yenu ashinde kwa kura za wizi?
Kenya wameendesha uchaguzi wao kwa uhuru na haki na kwa uwazi wa hali ya juu tofauti na sisi ambapo matokeo huwa siri hadi siku ya mwisho.
Leo vyama vya upinzani vimezuiwa kufanya mikutano ya kisiasa wakati CCM ikiendelea na mikutano kama kawaida, sipati picha itakuwaje wakati wa uchaguzi.
Hongera Uhuru, hongera IEBC na hongera wakenya wote.
Nyie mnahangaika na Odinga atawasaidia kitu gani.Mi nilie nn we crazy !! Pambana na Hali yako ww usiahangaikie kenya
Mi nilie nn we crazy !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunamshukuru sana Mungu waroho wa madaraka hawakushinda Kama itakavyokuwa 2020.Hongera sana IEBC kweli ni wazalendo. Mungu awabariki. Odinga amebebwa sana na Tume kwa maana kila lalamiko alilolitaka IEBC wamemtekelezea tofauti na huku Tanzania ilivyokuwa 2015.
Sent using Jamii Forums mobile app