Hakuna hii kitu mie huku sijaona hata kidogo huku kila kitu umeme hakuna mgao wa umeme huku mie nina miaka zaidi 20 sijawahi kuona au kusikia kuna mgao wa umeme au mgao wa maji hakuna hii kitu Mkuu hio kitu pasi ya mkaa huko huko kwenu East Africa. Mkuu gfsonwinmbona hata ulaya zipo na zatumika?
Hakuna hii kitu mie huku sijaona hata kidogo huku kila kitu umeme hakuna mgao wa umeme huku mie nina miaka zaidi 20 sijawahi kuona au kusikia kuna mgao wa umeme au mgao wa maji hakuna hii kitu Mkuu hio kitu pasi ya mkaa huko huko kwenu East Africa. Mkuu gfsonwin
Hakuna hii kitu mie huku sijaona hata kidogo huku kila kitu umeme hakuna mgao wa umeme huku mie nina miaka zaidi 20 sijawahi kuona au kusikia kuna mgao wa umeme au mgao wa maji hakuna hii kitu Mkuu hio kitu pasi ya mkaa huko huko kwenu East Africa. Mkuu gfsonwin
basi kwenye visiwa vya trinidad bado ipo n ainatumika mkuu.
mbona hata ulaya zipo na zatumika?