3D.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2010
- 1,018
- 282
Sorry for the delay dear... si unajua kupika huku unachungulia net basi ili mradi tu...
MwanajamiiOne maana yangu ni hii dear...
Unalosema ni kweli kua watu/wenzi wengi wamekua na mtindo wa kutotaka kuonesha au do their best kwa wenza wao in the pretext kwamba huo mwenza wao atajidai... hili suala sio zuri kabisa LAKINI hata hivyo sioni kua hilo ndo ufanya watu wachokane... labda kwa kunymbulisha natoa sababu ambazo naamini kua hufanya watu wachokane...
- Mmoja wa mwenza kua too dependent, yaani hata kama kweli unahitaji msaada sometimes ikivuka mpaka mwingine huchoka kutoa hio support anayotoa kila siku. For instance kila mkionana una shida na pesa ya kitu fulani...
- Kujifanya kila siku mwenzi anpo suggest mkutane faragha kua you are not interested na unaenda sababu tu eti yeye anataka - haipendezi sababu it takes to for it to be a great experience - alafu pia variety nayo ni muhimu sio kila siku kifo cha mende (kama unashindwa kua creative basi hata waconsult wahindi kwa kua na collection ya kamasutra...
- Usumbufu wa simu za mara kwa mara, kwa siku mnapigiana simu mara 10... (seriously what are you talking about! ) walau twice or thrice siku moja moja sio mbaya.
- Kua too demanding.. kila siku na kila saa unataka muwe wote kama kumbi kumbi - ni muhimu kupeana breathing space once in a while..
- Ku relax mno na kufikiria kua as long as una mwenza there no need ya kufanya effort ya kumfurahisha... ni vigumu kufanya hivyo ndo maana events muhimu kama valentine, birthdays na anniversaries unazitumia effectively ku revive mapenzi yenu..
- Na mengine madogo madogo....
My stand...
You love someone please let them know, na kwa vitendo kwa kujali na kuwajali pamoja na mambo yoote ambayo ni muhimu katika maisha yao... Give your best so that ikishindikana mnaachana you know deep down that that was your best but it was never meant to be... be your best that you are forever imprinted in his/her mind - kwamba hata kama alinipiga buti huko aliko ananikumbuka na anajuta uamuzi alokua amechukua... Mapenzi ya kweli you give and give and give.... mpaka pale unaopoona kua hapakufai tena au kama una bahati unakua ndo umefika.
Nasikiliza, endelea......!!!