The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Atarudi anatuambia kuwa wako pamoja by the look of things jamaa bado anampenda huyu mwanamkei hope everything goes well with them....this time its gonna work out....l.o.l
Atarudi anatuambia kuwa wako pamoja by the look of things jamaa bado anampenda huyu mwanamkei hope everything goes well with them....this time its gonna work out....l.o.l
Sema na moyo wako! Kama bado wamfeel, don't kid urself la kama moyo ushakuwa black, hakuna kitu aweza kufanyia!bora angeniambia hanitak, lakin sikupendi neno zito
mkuu achana nae huyo anakupotezea muda tu. Wakati anakuambia hakupendi alikuwa na mtu sasa amekorofishana naye ndio anataka kuja kwako. Mpotezee huwezi ukafanywa plan b tena kwa jibu baya.
Sema na moyo wako! Kama bado wamfeel, don't kid urself la kama moyo ushakuwa black, hakuna kitu aweza kufanyia!
Mpaka umeleta humu ni kwamba yuko moyoni mwako ila tu unajibu mapigo kwa alivyokutesa, usijiumize bure jiulize kama bado unampenda jitose, acha kufikiria nani atasema nini, this is your happiness your playing with! shauri yako usije sema sijakwambia
Aende kwenye ndumba tena??? hilo tu sio sahihi ila mengine anaweza ku aplytafsiri yako yaweza kua kweli ila sio lazima kama ulivyo komfem.
mimi pia nilishakutwa na hali kama hii tena toka kwa mtu ambae mimi wala sikua nimewah kumtongoza,
ilatu yeye mwenyewe alinipenda ila ikashindikana me kua nae.
kw akili inayofanya kazi vyema, kauli kama hyo ya "lazima awe wangu" inaweza kua na mengi.
hapa tuzinagtie nguvu ya fedha, uwezo wa akili binafsi ya mtu, ndumba n.k katika kufanyahila kwa mwenzake.
kama ulishamwambia mtu kua uwezi kua nae, na ukampa sababu ni kua unamtu ila yeye akakamia tena kwa ujasiri
lazima ufkirie mara mbili.
nachomshauri jamaa ni kua awe makini sana na huyo mtu. anaweza kumfanyia setup, kumwendea kwa ndubma,
au akmset dem wa jamaa ili jamaa aone kama demwake anamsaliti. n.k
Pia kuna wanao sema sikupendi huku roho zao zinasema nakupenda, fikiria kwa makini ukiona vipi usimu entertain kumsikiliza sababu wanawake wengine tukipewa mwanya tu wa kujieleza kosa kubwa sana!bora angeniambia hanitak, lakin sikupendi neno zito
Kosa?Huyo dada anasoma hapa kujua kumwendea mwenzake BwAGAMOYO sio sahihi?Aende kwenye ndumba tena??? hilo tu sio sahihi ila mengine anaweza ku aply
Hahahahahahaha! Au SUMBAWANGA????
Ujue nakutafuta au unataka nikuendee BWAGAMOYO.Kosa?Huyo dada anasoma hapa kujua kumwendea mwenzake BwAGAMOYO sio sahihi?
Hahaha wataniweza mimi huko BwAGAMOYO??Lolz!Ndo umeshatoka kule?Ujue nakutafuta au unataka nikuendee BWAGAMOYO.
Ngoja niongee na sangoma achanganye majani ya mpapai akupe uoge uone habari yake,nimetoka kule muda kidogo.Hahaha wataniweza mimi huko BwAGAMOYO??Lolz!Ndo umeshatoka kule?
Ngoja niongee na sangoma achanganye majani ya mpapai akupe uoge uone habari yake,nimetoka kule muda kidogo.
Dah! Ndio maana nikawa nakustua uje mapema sababu pilau liko mezani tayariNilishaogeshwa na maji ya limao...sidhani kama mapapai yataona ndani!Mhuu...sasa pilau lishaiva?
We bana!Hivi unajua bado sijaamka rasmi?Asante kwakunitamanisha...ngoja nikakarangize langu bila nyama!Dah! Ndio maana nikawa nakustua uje mapema sababu pilau liko mezani tayari
Huko sasa atajikuta kaenda kwa mganga wa bidada akifika anashindiliwa kirahisiiiiKosa?Huyo dada anasoma hapa kujua kumwendea mwenzake BwAGAMOYO sio sahihi?
Naja kula kwakoWe bana!Hivi unajua bado sijaamka rasmi?Asante kwakunitamanisha...ngoja nikakarangize langu bila nyama!
Naja kula kwako