Eti ameniacha kisa kofi moja tu

Kwanza unefanya kosa kubwa kumpiga
Ungepaswa kumfata na kuniuliza labda kweli alikuwa ni kaka yake ila na yy pia ni muongo ingekuwa ni kaka yake asingekudanganya yuko home
Nakushaur usije unatisha kosa la kumpiga mpenz wako kumbuka hata Pete hujamvalisha . Yaelekea unahasira sana kaka ww kama unampenda vumilia mbembeleze au kama VIP tafuta mwingine muda 3 sio mingi sana
 
Wewe nae una matatizo, kama alikuwa na kaka yake, kwanini akudanganye? Hujiulizi tu? Huyo hajafanya maamuzi, ingia barabarani kutafuta mwingine, acha kumpigia kabisa. Na huo mkwara wa yeye na wewe basi ni kwa sababu anajua yeye ndie mwenye makosa. Mara nyingi alie na kosa huwa anaoverdo mambo akidhani ndicho kinachopaswa kufanyika ili ionekane kweli. Angekuwa mkweli, angetaka kukuumbua palepale kwa kumuita kaka yake athibitishe kuwa ni kweli wana undugu.
Hivi mbona mnakuwa mazuzu kirahisi hivyo? Mtu unataka kumuoa, adanganye yuko home, umkute bar yuko na jamaa, anadai nivkaka yake baada ya kuwa umempiga kibao, kwanini asimuite huyo kaka amtetee?
 

Mkuu nilitaka niseme hivi hivi. Hongera kwa kuiba point yangu...


Toka lini mdogo mtu na kaka mtu wakakaa bar !?
 
nyaggad

Usipoteze muda ....mim napataga hasira sana mtu akibidanganya bt siwez mim kumpiga mtu.
 
Last edited by a moderator:
Kama alikuwa na kaka hapakuwa na sababu ya kukwambia uwongo na pia asingeshtuka kukuona na vilevile asingekimbia..nadhani alikufanya ATM. Ndo dada zetu walivyo ck hizi..walio wengi japo wapo waaminifu wachache

Ni kweli uyasemayo mkuu!
 

Wewe Ni Muongo!

 
Mkuu nilitaka niseme hivi hivi. Hongera kwa kuiba point yangu...


Toka lini mdogo mtu na kaka mtu wakakaa bar !?

Hahaha! Nimekuwahi sio? Kwanza kukaa Bar mkiwa ndugu si tatizo hata kidogo inategemea tu na culture ya ndani ya ukoo/familia n.k Ila issue ni kwamba, wewe upigwe kibao wakati kaka yako yuko karibu, ukivumilie kimya kimya bila kumuita akutetee kweli?
Unaficha nini?
Okay, baada ya vumbi kutulia, unaugulia kofi, na labda ulisahau kuwa kaka yupo bar baada ya kula kibao cha ghafla, sasa umetulia, kwanini usimuumbue aliekupiga kwa kumuita kaka athibitishe kuwa mna undugu?
Kumbuka aliekupiga kibao ni mtu rasmi, mchumba huyo ambae kama hujamtambulisha, basi utamtambulisha soon nyumbani so hakuna siri. Na kingine ni kuwa huyo mwanaume unampenda na hutaki apate picha tofauti akuache, kweli bado utimue mbio kutoka eneo la tukio tu? Unakimbia nini?
Au basi una hasira sana, kakudhalilisha mbele za watu, kwanini na wewe usimuumbue hadharani kuwa kakosea ili watu waone kwa kumuita kaka yako aje amthibitishie ili aumbuke? Na ikiwezekana na yeye apigwe vibao na kaka yako au apelekwe polisi?
Bado tu unaomba msamaha kweli? Hayo yote mtu hujiulizi kweli?
 
Eti nipo nyumbani wakati yupo bar, ungeenda tu pale kuonyesha kama umemuona nadhani ingemuuma kuliko ulivyompiga, kiufupi wote mna makosa sitetei upande wowote, inabidi muombane msamaha nyote ila kwa hulka ya wanawake usitegemee hilo
 

Sikubali umeniigia hahahaa(joke)
 
Kama ni ndugu yake kwa nn akudanganye yuko home anapika? Think big
 
Mkuu nafikiri utakuwa na matatizo ya fikra...unataka ushahidi gan tena kuwa huyo mwanamke siyo muaminifu???acha upuuzi acha kulialia katika maswala yakipumbavu...huyo hakufai
 
duh...hiii chiboko aiseeeeeee....
 
Wewe na yeye nyote mna makosa.

1. Wewe: Kwa nini unyooshe mkono wako kumpiga mwanamke? Regardless kakufanyia nini...

2. Yeye: Kwa nini akudanganye?

Salama yenu muachane tu kwa amani...move on bro!
 

Unadhani kwa nini alishindwa kusema ukweli? Alistahili makofi zaidi kwa kosa la uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…