HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Kuna taarifa amenipa rafiki yangu mmoja aliyekuwa safarini lindi kwa mwezi na nusu zimenitatiza mno, nikalazimika kuziandika hapa. Jamaa huyu aliendea Lindi ktk wilaya ya lindi vijijini kikazi. Kama ambavyo mnafahamu mazingira ya wilaya hii ni mabaya mno kwa wageni maana ni shida sana kupata sehemu za kununua chakula na pengine hata sehemu za kulala.
Baada ya kuhangaika kujipikia kwa muda wa takriban wiki hivi, best huyu alihurumiwa na mama mwenye nyumba na kuingia mkataba wa kusaidiwa kupika kwa makubaliano ya kuchangia gharama za matumiza hapo nyumbani. Kwa kweli, hili lilikuwa ni wazo jema sana kwake maana hali ya kujipikia ilikuwa imemchosha kabisa.
Utaratibu ulikuwa rahisi, mama anapika chakula na kumpa bintiye ampelekee chakula jamaa na baadaye binti anafuata vyombo. Utaratibu huu uliendelea na baadaye mama mwenye nyumba akamlazimisha bintiye ambaye ni mwanafunzi wa darasa la sita awe anasubiria vyombo kila anapopeleka chakula usiku. Hili lilimchanganya jamaa yangu mwanzoni, akawa amkifukuza yule binti na kumwambia awe anafuata vyombo baada ya nusu saa. Baada ya siku chache, mama alibadili utaratibu na kumshauri mwanae ampe kampani jamaa usiku na kisha asbh arudi na vyombo, akidai eti si vzr mgeni kulala pekee yake. rafiki yangu huyu alistuka na kuamua kumfuata mama kumuuliza yamekuwaje mambo hayo. Yule mama alimwambia jamaa asiwe na wasi wasi, apate kampani ya mwanae maana ni yeye ndiye aliyemruhusu!
Kwa kuwa jamaa yangu huyu naye kwenye field hii kashindikana, alikiri wazi kwamba alikaa na kabinti hako bila huruma kwa muda wote huo kaki-mkampani halafu asbh kanaenda shule (hii ilikuwa baada ya kufungua shule) kama kawaida mpaka aliporudi wiki iliyopita
HP Nilipofanya uchunguzi kwa kuwauliza wakazi kadhaa wa Lindi, wengi walikiri kuwa matukio kama hayo ni mengi na ni jambo la kawaida mwanamke kumpa mwanaume huduma ya kimapenzi na haijalishi anayetoa ni mwanafunzi au Laa, na zoezi hili ni rahisi kuliko hata gharama za kununua chumvi!
Kwa kifupi taarifa hizi zilinisikitisha mno kwa mama kuamua kumgawa mwanawe kirahisi hivi kwa wanaume kwa visenti vichache na kujisikia kulihurumia Taifa na vijana ambao hawajaoa sasa, hususan wa Lindi maana style ya wake watakaowapata yumkini ikawa kama hii!
Je wenzangu mmewahi kusikia taarifa kama hizi? Je mnafikiri nini kifanyike kupunguza tabia za namna hii kuokoa hili taifa? Na watu wa dizaini kama huyu jamaa yangu wasio na aibu wanaishi na kitoto cha darasa la sita wafanywe nini?
Wenu,
HorsePower
Baada ya kuhangaika kujipikia kwa muda wa takriban wiki hivi, best huyu alihurumiwa na mama mwenye nyumba na kuingia mkataba wa kusaidiwa kupika kwa makubaliano ya kuchangia gharama za matumiza hapo nyumbani. Kwa kweli, hili lilikuwa ni wazo jema sana kwake maana hali ya kujipikia ilikuwa imemchosha kabisa.
Utaratibu ulikuwa rahisi, mama anapika chakula na kumpa bintiye ampelekee chakula jamaa na baadaye binti anafuata vyombo. Utaratibu huu uliendelea na baadaye mama mwenye nyumba akamlazimisha bintiye ambaye ni mwanafunzi wa darasa la sita awe anasubiria vyombo kila anapopeleka chakula usiku. Hili lilimchanganya jamaa yangu mwanzoni, akawa amkifukuza yule binti na kumwambia awe anafuata vyombo baada ya nusu saa. Baada ya siku chache, mama alibadili utaratibu na kumshauri mwanae ampe kampani jamaa usiku na kisha asbh arudi na vyombo, akidai eti si vzr mgeni kulala pekee yake. rafiki yangu huyu alistuka na kuamua kumfuata mama kumuuliza yamekuwaje mambo hayo. Yule mama alimwambia jamaa asiwe na wasi wasi, apate kampani ya mwanae maana ni yeye ndiye aliyemruhusu!
Kwa kuwa jamaa yangu huyu naye kwenye field hii kashindikana, alikiri wazi kwamba alikaa na kabinti hako bila huruma kwa muda wote huo kaki-mkampani halafu asbh kanaenda shule (hii ilikuwa baada ya kufungua shule) kama kawaida mpaka aliporudi wiki iliyopita
HP Nilipofanya uchunguzi kwa kuwauliza wakazi kadhaa wa Lindi, wengi walikiri kuwa matukio kama hayo ni mengi na ni jambo la kawaida mwanamke kumpa mwanaume huduma ya kimapenzi na haijalishi anayetoa ni mwanafunzi au Laa, na zoezi hili ni rahisi kuliko hata gharama za kununua chumvi!
Kwa kifupi taarifa hizi zilinisikitisha mno kwa mama kuamua kumgawa mwanawe kirahisi hivi kwa wanaume kwa visenti vichache na kujisikia kulihurumia Taifa na vijana ambao hawajaoa sasa, hususan wa Lindi maana style ya wake watakaowapata yumkini ikawa kama hii!
Je wenzangu mmewahi kusikia taarifa kama hizi? Je mnafikiri nini kifanyike kupunguza tabia za namna hii kuokoa hili taifa? Na watu wa dizaini kama huyu jamaa yangu wasio na aibu wanaishi na kitoto cha darasa la sita wafanywe nini?
Wenu,
HorsePower