Hizo za Nigeria na Algeria wamenunua mitumba kutoka kwa wengine. Sidhani kama waliziunda na kuzilaunch wenyewe!
..Thank u.
..kuna mjadala mkali kuhusu faida na hasara ya nchi kuwa na Space Program.
..ukisikiliza kila upande utaona wana hoja fulani, kwa hiyo mimi hapo nilikuwa najaribu kuonyesha faida ambazo Ethiopia wanaweza kuzipata kutokana na mpango wao wa kurusha Satellite.
..Waethiopia wana moyo wa kujiamini, na hilo ni jambo muhimu sana ktk ujenzi wa taifa lolote lile.