the big mayai
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 230
- 325
....ukuaji sayansi na teknolojia ndio zimepanua na kupunguza maumbile yetu kinadharia. Hali hii, imepelekea pia kuzitenganisha zama za kale na sasa kwa haraka sana. Mfano zamani vibamia vilikuwepo. Na maumbile makubwa ya ke, yalikuwepo lakini kilichowajenga daima ilikuwa upendo na maadili ya ndoa. Mwanamke angeliweza kulala kwa mshindo mmoja tu wa mwanaume na kuridhika. Sikuhizi(baadhi yetu) tuna magnify tendo hili kudhani kuna cha ziada zaidi, hadi hatua ya kuangalia ya kwenye pornagraph, na kuyalazimishia kwenye hisia na wandani wetu. Kimsingi kila zama na watu wake wanaohitaji mambo yao na hii ndio dunia
