realfrank
Member
- Mar 21, 2014
- 20
- 0
nilikuwa na mpenzi wang ...kiukweli nili mchoka baada kuwa na mpnz wang mpya..mana kila nilipo taka kufanya nae mapenzi alikuwa anakuja..namfulisha..namkalipia..yani in short nilikuwa namuendesha navo taka mm..mara ya kwanza nili break up nae then tuka rudiana mara ya pili juzi apa nika muambia niache ..akanijb poa...siku ya pili yake..kwenye whatsap dp yake aka weka picha ya mwanaume na aka andika kuwa ndo mpnz wake.Je nikweli ata kuwa bwana ake au nikutaka kuniumiza roho