et hii ni ishara ya nini?

et hii ni ishara ya nini?

realfrank

Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
20
Reaction score
0
nilikuwa na mpenzi wang ...kiukweli nili mchoka baada kuwa na mpnz wang mpya..mana kila nilipo taka kufanya nae mapenzi alikuwa anakuja..namfulisha..namkalipia..yani in short nilikuwa namuendesha navo taka mm..mara ya kwanza nili break up nae then tuka rudiana mara ya pili juzi apa nika muambia niache ..akanijb poa...siku ya pili yake..kwenye whatsap dp yake aka weka picha ya mwanaume na aka andika kuwa ndo mpnz wake.Je nikweli ata kuwa bwana ake au nikutaka kuniumiza roho
 
kwa hiyo unamuonea wivu mwanaume mwenzio??

wavulana bhana!
 
Ok nimewaelewa lakini kama kuna ambaye alishakuwa na case kama hii anipe uzoefu wake. Na je naomba kujua kama kuna yeyote ambaye alishawahi kulalamikiwa na gal wake kwamba uume wake mdogo na je alichukua hatua gani na hatimaye gal wake akaridhika?
 
Unauliza tena na watu wanajimegea mdo mdo eeh!
 
ata kama ...mi mwenyewe mbona aina idadi ..kama mara 250@kibo10
 
Mapenzi ya utotoni ,tofauti na ukubwani sasa jaribu kuangalia mara ya kwanza mlikuwa kwenye stej ip
 
nilikuwa na mpenzi wang ...kiukweli nili mchoka baada kuwa na mpnz wang mpya..mana kila nilipo taka kufanya nae mapenzi alikuwa anakuja..namfulisha..namkalipia..yani in short nilikuwa namuendesha navo taka mm..mara ya kwanza nili break up nae then tuka rudiana mara ya pili juzi apa nika muambia niache ..akanijb poa...siku ya pili yake..kwenye whatsap dp yake aka weka picha ya mwanaume na aka andika kuwa ndo mpnz wake.Je nikweli ata kuwa bwana ake au nikutaka kuniumiza roho

hahahaaa! Siku zote usifanye maamuzi kama hayo huku ukisubiria maumivu kwa mwenzako wakat huo moyo wako hauko tayar kuachana naye. Hapo utakuja kuugua vidonda vya tumbo buree
 
Ok nimewaelewa lakini kama kuna ambaye alishakuwa na case kama hii anipe uzoefu wake. Na je naomba kujua kama kuna yeyote ambaye alishawahi kulalamikiwa na gal wake kwamba uume wake mdogo na je alichukua hatua gani na hatimaye gal wake akaridhika?

Usiwe mtumwa wa mapenzi ndugu. Akisema wako mdogo jua kaona mkubwa na kama ni mwenye ideology kua uume mkubwa ndo utaomridhisha hata ujifunze katerero na takataka zote utafua! We tafuta mwingine na hutokuja mridhisha nakuhakikishia.
 
Subiri ukue kwanza maana hata kujieleza ni kama unatetemeka maungo hata kuandika unashindwa...
 
Subiri ukue kwanza maana hata kujieleza ni kama unatetemeka maungo hata kuandika unashindwa...
lol umeliona hilo watu8,alafu saiv shule zmeshafungwa kwa ajil ya pasaka eh?
 
nilikuwa na mpenzi wang ...kiukweli nili mchoka baada kuwa na mpnz wang mpya..mana kila nilipo taka kufanya nae mapenzi alikuwa anakuja..namfulisha..namkalipia..yani in short nilikuwa namuendesha navo taka mm..mara ya kwanza nili break up nae then tuka rudiana mara ya pili juzi apa nika muambia niache ..akanijb poa...siku ya pili yake..kwenye whatsap dp yake aka weka picha ya mwanaume na aka andika kuwa ndo mpnz wake.Je nikweli ata kuwa bwana ake au nikutaka kuniumiza roho

"Your so yesterday"
 
Mambo ya kivulana, huna uhakika unataka nini na maisha yako ya mapenzi. We si ulimwambia muachane, sasa yeye kuweka picha ya mwanaume mwingine tatizo kwako ni nini? Let her go for good, don't be a wuss
 
Back
Top Bottom