Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,807
Naingojea hii video kwa hamu!
Isije ikachakachuliwa tu.
Naingojea hii video kwa hamu!
We mkabila Wakurya wametokea wapi humu?
Mbunge wa viti maalum Ester Bulaya (CCM) nae amekanusha kumpigia debe Zitto kwenye Urais.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, ameandika;
Nawasilisha
kwani hajaolewa huyu?
Mkurya wa watu hajui kiswahili jamani! Kha!
Wakuu, kama alivyosema Zitto lengo la lile tamasha lilikuwa si kutangaza malengo ya Zitto kisiasa, sasa inakuwaje huyu jamaa ashabikie sana hili suala la hawa wabungeumpigia debe, hata kama ni kweli walisema hivyo
sasa zitto katoswaje hapa?
Good news..Anatafuta mchumba
Kaka ntaanzia wapi, mie mtu mdogo sana ktk jamii hii, sistahili hata kufungua kamba za viatu vyao..! kutamani nisivoviweza ni kujitia jakamoyo..Tokea lini alieolewa akawa shost wa asieolewa? Wote wawili Mdee na Bulaya ni singles, tuliwahi kusikia kwa kampeni za Nassari kuwa akipata ubunge atavuta Mdee sasa sijui imeishia wapi hii... ila mkulu kama kuna kati yao aliekuvutia tia timu tu.
Mbunge wa viti maalum Ester Bulaya (CCM) nae amekanusha kumpigia debe Zitto kwenye Urais.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, ameandika;
Nawasilisha