Espionage & Diplomatic Blunder: KGB walipompa balozi wa Marekani zawadi iliyofichwa kifaa cha kunasia sauti (BUG)

Askar wetu hawawez kuwa bright kwa7bu wanadili na wapinzan ambao hawana hata caterpult (manati), fikiria usalama aliesota darasan anapanga mission ya kumteka diwan wa cdm anaekaa kwenye nyumba yake isiyo na ulinzi hata wa mbwa au kupanga kumteka mfuasi wa cdm anaekaa kwa bibi yake hana hata chembe moja ya intelligence sasa unategemea huyo kachero atakuwa na maarifa? Unamvamia bashe na musukuma unawatia ndani ki-intelligencia sasa unategemea nini? Ndo maan tunasikia kwamba tunafanyiwa espionage na warembo wa Rwanda watu wamebung'aa kazi kusikia mara SAA tisa kapotea cjui miili unaokotwa mto ruvu mara mingine imeokotwa ufukweni hatujakaa vizur tunaambiwa lissu kapigwa risasi, kamera za cctv zimeng'olewa yaan alieziweka kaenda kuzichukua jamani wenzetu fanyeni uchunguz wanasema tunamtaka dereva! Sasa inamaana huyo dreva angekufa na lissu wake tungeishia mazishi tu?
 
Kifaa kikose source yoyote ya Power kita run vipi icho kama kilikuwepo basi Kilikuwa embedded na Panel ndogo za solar ndani ya hio hio zawadi
 
Duuuh ni noma aisee ivi Ruandaa hawana hii tecknolojia kweli,kama wanayo watakua washatudukua vyakutosha

Kwanini na sisi tusiwe na chuo cha kijeshi cha kisiri kufanya mambo ya ki sayansi kama hawa jamaa,tunaweza kuwa piku wakenya kiuchumi kwa mbinu kama hizi
Wewe una uhakika gani hakipo?
 
Interesting....
Wakuu nahitaji kuwajua zaidi hawa watu.
1. Alexandre the great
2. Leonardo da Vinci
3. Napoleon Bonaparte

Natanguliza shukrani....
 
Zawadi huwa hazipokelewi kwenye kazi hizo za kidplomasia, ujasusi.
Hata peni hatupokei mkuu.
Inakuwa blunder baada yakujua "ushatiwa dole".
Raisi wetu wa hawamu iliyopita alizawadiwa Suti akashangilia na kuruka ruka bila kutafakari. Haya huyu "kiazi" mwingine juzi anakenua kabisa na magego yote, baada ya kukabidhiwa kituo cha mafunzo ya jeshi lake la ulinzi wa nchi, kilichojengwa na watu waliodukua majengo Umoja wa Afrika kwa takribani miaka 5.
Ndio maana infantry akaiita ni blunder
 
Zawadi huwa hazipokelewi kwenye kazi hizo za kidplomasia, ujasusi.
Hata peni hatupokei mkuu.
Inakuwa blunder baada yakujua "ushatiwa dole".
Raisi wetu wa hawamu iliyopita alizawadiwa Suti akashangilia na kuruka ruka bila kutafakari. Haya huyu "kiazi" mwingine juzi anakenua kabisa na magego yote, baada ya kukabidhiwa kituo cha mafunzo ya jeshi lake la ulinzi wa nchi, kilichojengwa na watu waliodukua majengo Umoja wa Afrika kwa takribani miaka 5.
Ndio maana infantry akaiita ni blunder
 
kwa taarifa fupi ya uhakika.. wana usalama wa bongo wako makini kudukua ama kusikiliza maongezi ya kwenye simu na taarifa za mtandaoni..

ni aibu kwa kweli.
 
Jambazi,
Mkuu,
AU wao wamejitakia wenye na wengi wa tunaowaita viongozi na watoa maamuzi wengi bara Letu hili la Africa ni vilaza tu.

Tatizo ni viongozi vichwa Nazi ndiyo tatizo.

AU tumewashauri waweke mifumo mipya ya tehama baada ya China kujenga lile jengo na kuweka vifaa vyote vya mawasiliano.
Wafanyakazi wa AU wakasema haiwezekani wawafanyie ujasusi.

It was obvious and clear that China must put spying devices in the whole building.

Kuhusu vifaa vya kutoka nje bado tunaweza kuzuia endapo watu wetu na wataalamu na viongozi wetu wakitumia ubongo badala ya matumbo na mihemuko.

Spying devices zote zinakuwa detected kirahisi sana kwenye electronics devices tatizo la taasisi zetu za ukaguzi ni kuwa tunapeleka mzigo sokoni huku sample bado iko let's say TBS mzingo hadi unauzwa unaisha bado majibu ya TBS hayajatolewa.

Kwa hiyo, tatizo ni mifumo yetu bali kuzuia spying devices ni rahisi sana.
Mwaka Jana nilishangaa sana eti spika Wa bunge la Msumbiji anapokea Zawadi ya computer kutoka Uchina ili zitumike bungeni,nikaona ndio Basi tena bunge Zima liko u chi,ushauri wangu kwa vyombo vya usalama pindi wapewapo Zawadi wazipokee na kutuma taarifa na maongezi ya uongo ili kuwapoteza maboya Hawa marafiki/maadui zetu
Nalog off
 
Mwaka Jana nilishangaa sana eti spika Wa bunge la Msumbiji anapokea Zawadi ya computer kutoka Uchina ili zitumike bungeni,nikaona ndio Basi tena bunge Zima liko u chi,ushauri wangu kwa vyombo vya usalama pindi wapewapo Zawadi wazipokee na kutuma taarifa na maongezi ya uongo ili kuwapoteza maboya Hawa marafiki/maadui zetu
Nalog off

Washawasha,
Mkuu.
Haa haa haa , nimewahi ona hapo Zimbobo Karibu sana na hicho kichaka cha Mr. Slim.

Naenda zangu Wellington kupata dinner.
 
Back
Top Bottom