sasa mzinze anakiwango gani kumzidi ahuwa
Mzize ana mwili mzuri wa kishambuliaji na ana umri wa kutumika miaka mingi.
Caf champions league inataka washambuliaji wenye miili mikubwa. Kushindana nguvu na mabek mwili nyumba.
Tazama mwili wa mayele kwa mfano


