Wazungu wapumbavu sana...wameenda kupiga picha Tandale afu ndo wanasema busy street......Solution hapa ni kuacha kutegemea misaada ya wazungu,...wanatudharau sana hawa
kwani hiyo busy street si iko dar es salaam?
Wazungu wapumbavu sana...wameenda kupiga picha Tandale afu ndo wanasema busy street......Solution hapa ni kuacha kutegemea misaada ya wazungu,...wanatudharau sana hawa
Mkuu kwa kweli sisi ambao ni wanachama wa chama tawala, chama kinatuweka njia panda.
Chama kinapocheka na nyani, hii inaudhi sana!!
kwani hiyo busy street si iko dar es salaam?
Mkuu hii picha ndio wameweka kama busy street kwa DSM na tz kwa ujumla?
Mkuu hii picha ndio wameweka kama busy street kwa DSM na tz kwa ujumla?
Mkuu wzungu hasa waandishi wa habari wao wakitaka kukujengea dharau kwao , hivyo ndivyo wanavyowaambia watu wao.
Hapo wameonyesha kuwa watu wenyewe masikini sana, hiyo "busy street" ndiyo level yao ya maendeleo, halafu ndo viongozi wanajikwapulia hiyo Bilioni 321.
Wazungu wapumbavu sana...wameenda kupiga picha Tandale afu ndo wanasema busy street......Solution hapa ni kuacha kutegemea misaada ya wazungu,...wanatudharau sana hawa
Tena mi nahisi hawakupata sehemu nzuri ya kuweka. Wangeweka ile barabara ya midizini manzese. Hakuna haja ya kudanganya watu kwa kuonyesha majengo ya NSSF, PPF, nk eti tuseme ndo Dar. Sehemu kubwa ya miji yetu iko hovyo kuliko hapo walipoonyesha.
Dar unaita jiji wakati vinyesi vinatembea kati ya mji? Kuku wanawika kukuamsha! Jiji gani hilo takataka tu!
Wacheni upuuzi kwani hiyo picha haitoki Dar Es Salaam! I mean sio ya mahali ambapo ni Dar? Hawa viongozi wezi ndipo walipotufikisha hapo wanakwapua pesa za walipa kodi na kujikimu wao binafsi na hakuna wa kuwawajibisha kwa sababu hao wanaoibiwa wanaishia kula kwa dola moja kwa siku. Kwanza wazungu wenyewe wala hawajihusishi na mambo ya walalahoi wanawaonea huruma kwa sababu wanafahamu jambazi kuu linalala Magogoni.
Kukata mzizi wa fitna na nyie wekeni picha za kwao ambazo ni hoi bin taabani mnashindwa nini?
Sijakataa...iko dar es salaam....lakini wameiweka Tandale kwa makusudi ili kutukejeli....why wasiweke posta.....
Hiyo busy street ya kwenu Rombo huko!
Wacheni upuuzi kwani hiyo picha haitoki Dar Es Salaam! I mean sio ya mahali ambapo ni Dar? Hawa viongozi wezi ndipo walipotufikisha hapo wanakwapua pesa za walipa kodi na kujikimu wao binafsi na hakuna wa kuwawajibisha kwa sababu hao wanaoibiwa wanaishia kula kwa dola moja kwa siku. Kwanza wazungu wenyewe wala hawajihusishi na mambo ya walalahoi wanawaonea huruma kwa sababu wanafahamu jambazi kuu linalala Magogoni.
Kukata mzizi wa fitna na nyie wekeni picha za kwao ambazo ni hoi bin taabani mnashindwa nini?
Ungetuwekea gazeti la uingereza tungekuamini lakini unatuwekea the citizen halafu unataka tuamini uongo wako??? kwa taarifa yako waingereza wanawacheka wabunge wenu wanaofanya fujo bungeni na wanashangaa kama mtawarudisha tena bungeni.....amka wanyime kura Chadema ili majadiliano bungeni yafanyike kwa utulivu na kwa heshima ya chombo hicho bunge.
Hatuwezi mpaka evolution ibadili ubora wa ubongo wetu.
Mkuu pole kama wewe siyo panya.Panya ale mazao ya binadamu halafu utegemee kuna panya mwenzake atamwajibisha?Una moyo sana.HongeraMkuu kwa kweli sisi ambao ni wanachama wa chama tawala, chama kinatuweka njia panda.
Chama kinapocheka na nyani, hii inaudhi sana!!
Mkuu kwa kweli sisi ambao ni wanachama wa chama tawala, chama kinatuweka njia panda.
Chama kinapocheka na nyani, hii inaudhi sana!!
Mkuu wzungu hasa waandishi wa habari wao wakitaka kukujengea dharau kwao , hivyo ndivyo wanavyowaambia watu wao.
Hapo wameonyesha kuwa watu wenyewe masikini sana, hiyo "busy street" ndiyo level yao ya maendeleo, halafu ndo viongozi wanajikwapulia hiyo Bilioni 321.
Pamoja na kwamba ni muhimu kujua kuwa wengine wanakufikiria vipi kudunia, hili tatizo la kwetu ni letu, tumelilea na ni sisi tu tunaoweza kulitatua.Achana na wazungu....sisi tuwashughulikie wezi wa mali zetu...TUJITEGEMEE kushughulikia matatizo yetu.