Kwa kweli Awamu hii ya Nne kwa skandali imekuwa kichekesho duniani!kuchekwa kuna sababu, huwezi kuchekwa kama wewe sio kichekesho la sivyo mchekaji atakua mchekwa
Wazungu wapumbavu sana...wameenda kupiga picha Tandale afu ndo wanasema busy street......Solution hapa ni kuacha kutegemea misaada ya wazungu,...wanatudharau sana hawa
Sasa na wewe ungeanza kwa kubadili hiyo Avatar yako naiona kama ni ya kizungu zaidi.
Sasa na wewe ungeanza kwa kubadili hiyo Avatar yako naiona kama ni ya kizungu zaidi.
Teh teh teh nimetaka kukutukana nikakumbuka ban nisijepitwa na update za jf maana umeme haueleweki...
na wewe unaumwa tezi DUME?
Acha tu watudharau tena kama waliangalia na mwenendo wa bunge letu watakua wametuondolea hata ile heshina kidogo iliyokuwepo.Wazungu wapumbavu sana...wameenda kupiga picha Tandale afu ndo wanasema busy street......Solution hapa ni kuacha kutegemea misaada ya wazungu,...wanatudharau sana hawa