Sasa ulitaka tutegemee utashi wa nini?Kwa nini tutegemee utashi wa mtu kwenye kupambana na Ufisadi. Kwa sheria zetu zinategemea mapenzi ya mtu kutekelezwa? Madhara yake ndiyo haya tunaambiwa kwamba wengine tusiwataje hata majina yao tuwaache wapumzike!
Si walikuwepo hao mlikuwa mnanegua mauno BUNGENI kuwamiss na waliizima hii hoja?