Hapana,kwenye jf haya majina yana nafasi yake na mzee tupatupa achia kina the bold,hasa kwenye siasa nyie wakongwe niliowajua miaka mingi 1007-2010 kwenye siasa za kujazana chuki,mwamba nimeona dec 13 2024 watu walimuulizia but no his personal reply,kuna maisha nje ya siasa,napenda mijadala ya wakongwe kama ninyi nikiweka hoja mkikaa kimya najua nimewapiga za usoni wakongwe wa siasa za chuki (just joking)Mnataka kumuua?
Duuh,nataka walau nisome nyuzi za salary slip,Kuna watu kama UCDLeo katupia nyuzi mbili 😂😂
Salary SlipDuuh,nataka walau nisome nyuzi za salary slip,Kuna watu kama UCD
Erythrocyte, Salary Slip, Bams, Imhotep, Cute Wife hao wote ni mtu mmoja.Wale wafia chama CHADEMA akiwemo Erythrocyte na salary slip namuona tu Erythrocyte je huyu Salary slip aliamua kuhama chama au ndio kaamua kwenda na mipango yake binafsi
Erythrocyte binafsi naomba unijuze au ndio chama kilimpoteza
🥱🥱🥱😆😆😆,siasa ukiichukulia serious utaweka uadui,lkn ukiichulia kama utani wa Simba na YangaErythro anakula CCM analala CDM.🏃🏃🏃
KudangaWale wafia chama CHADEMA akiwemo Erythrocyte na salary slip namuona tu Erythrocyte je huyu Salary slip aliamua kuhama chama au ndio kaamua kwenda na mipango yake binafsi
Erythrocyte binafsi naomba unijuze au ndio chama kilimpoteza
2020 labda uchumi ulimpiga bando hana,Sky Eclat shikamoo,wakongwe wa jf muwe na forum yenu ndugu zanguMKWEPA KODI pia haonekani
Post zake ni 49000 na zaidi mkongwe tangu 2012, lkn hayupo hata kwenye makanyagio ya mwenyekiti Mhaini,CDM kweli ni mfano wa nchi za kidikteta na authoritarian political party.🥱😆
ChakazaMKWEPA KODI pia haonekani