Ni nani alikudanganya kitabu cha Genesis ni cha Mwenyeezi Mungu?
Tuliza tako sindano iingie
hebu jibu swali wewe sokwe mtu
usipanic unyani ndio asili yenu
baada ya wazungu kutuona waafrika ndio wakasema binadamu wa kwanza alikua nyani kwa ajili ya ujinga watu kama nyinyi
I've determined your stupidity through your logically-unsound premises
beutiful order of nature was once arranged by eternal law of the universe
I guess I'm wasting my time with you harlot!
Mimi nimewachoka kwa kujitoa kwao ufahamu ndio maana unaona mimi napita tu nikigawa like mkuu.
Lakini sio wakristo tu. Hata uislam nao ni hovyo tu kama wenzao wakristo
sikutegemea kama bado kuna watu wanatatizwa na egg-chicken-problem
anyway yai ndiyo kitu cha kwanza kwasababu ya recombination of gene
lakini hapa si mahala pake
kuhusu point yako ya logic,
principle za logic ni universal hakuna ya muumbaji wala ya muumbwa
huwezi kuwa na effect kabla ya cause,hii undeniable fact
hauwezi kupata usiku na mchana,bila ya jua na dunia
ukisema kitabu cha mwanzo kipo logically sahihi,basi utakuwa mistaken kwasababu genesis imelack causal mechanism.
Mkuu umesahau tena kuwa huyu jamaa wanaemuita mungu, aliwaumba adam na hawa wakiwa hawajui jema na baya, lakini tunaona aliwaachia maagizo 😀
Huyu mungu kama yupo atakuwa ana kichaa.
sokwe mtu hii kitu kaweka nani??
you mean something from nothing
teh teh teh
Utalikuta linakesha kusoma mitabu ya albert na isaack
kisha linalinganisha na biblia
Umeenda kuwasalimia ndugu zako nyani kule porini ?
sokwe mtu hii kitu kaweka nani??
you mean something from nothing
teh teh teh
Utalikuta linakesha kusoma mitabu ya albert na isaack
kisha linalinganisha na biblia
Umeenda kuwasalimia ndugu zako nyani kule porini ?
una mengi yakujifunza binti kama umeshindwa hata kudecode hiyo cliches
ulimwengu una sheria zake mkuu
na hizo sheria ndiyo zinazo ufanya uwe kama ulivyo
kila system katika ulimwengu ina obey hizo sheria na kamwe hazibadilika
makosa yote unayoyaona katika kisa hicho cha uumbaji ni makosa ambayo waandishi wa biblia waliyafanya kutokana na uelewa wao finyu wa hizo sheria
kama wewe unapenda kujifunza kuliko ubishi,basi nenda kasome mwanzo chapter one,pamoja na mwanzo chapter two halafu vilinganishe,utajua nini ninacho maanisha
Mimi akija mwehu wa kuniambia ni kwa nini sokwe waliopo kule gombe hawaendelei kubadilika na kuwa wanadamu nitamnunulia ice cream au pipi ya kijiti
Mimi akija mwehu wa kuniambia ni kwa nini sokwe waliopo kule gombe hawaendelei kubadilika na kuwa wanadamu nitamnunulia ice cream au pipi ya kijiti
kwa hiyo babu yako ni nyani ?
mkuu,mazingira ya sasa sio rafiki kwa "evolution"
pia evolution ni process ya mda mrefu,ni null ndani ya mda mfupi....itakuchukua vizazi takribani kumi kuona ikifanya kazi.
Ndio nini hiki ulichocomment?
wakristo wengi wanaamini kuwa mpangilio wa matukio katika kitabu cha "mwanzo" ni scientifically accurate...si kweli
hauhitaji professor wa fizikia kutambua makosa yaliyomo katika kisa hicho cha uumbaji
mfano,mwanzo 1:3-5
"mungu akatenga nuru na giza,mungu akaiita nuru mchana,na giza akaliita usiku"
uwepo wa mchana na usiku unategemea uhusiano wa vitu viwili,jua na dunia
lakini kulingana na biblia,jua pamoja na nyota zote ziliumbwa siku ya nne(ref;mwanzo 1:14-19)
sasa usiku na mchana vilikujaje siku ya kwanza?
Mwanzo 1:9-13
mungu anaumba majani,miche itoayo mbegu na miti katika siku ya tatu
kwa utashi wa kawaida tu,hakuna mmea unaoweza kuishi bila photosynthesis.mojakati ya requrements muhimu ya photosynthesis ni mwanga wa jua,lakini jua liliumbwa siku moja
baadae
mwanzo 1:14-19
mungu anaumba mianga(chazo cha mwanga) miwili mikubwa yaani mwezi na jua,kisha mwezi utawale usiku
lakini mwezi hautengenezi mwanga wake bali unaakisi mwanga unaotoka kwenye jua
wakristo mnahitajika hapa tafadhali!
Binadamu wa mwanzo alikua nani eti unajibu sokwe mwalimu anaweka pata na ujinga wako unakubali
kweli minyani ngwengwe mna tabu
hujanijibu hata swali moja zaidi ya kukata mauno kama mpo kwenye sherehe na nyani wenzio
Nenda Gombe ukakae na ndugu zako huku tupo binadamu
Yaani hakuna ushahidi wowote kuhusu hiyo kitu still wanaamini katika theory za watu huku wakipinga Maandiko Matakatifu
Hebu liulize hilo nyani eti maembe yametokeaje hapa ulimwenguni ?