McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Inashangaza sana kuona mtu ambaye alikuwa anahonga wananchi Matisheti analalamikia kuhusu rushwa kwenye Uchaguzi
Yaani hapa kasema kabisa yeye hana hela na kwamba huko Buchosa kuna watu wanasambaza hela ili wachukue nafasi yake.
"Mtakachokifanya kesho wazazi kisitegemee ni kiasi gani cha pesa mtu ametoa. Uongozi haunuliwi hatuwezi kutengeneza taifa la watu wanaonunua uongozi. Jimbo hili fedha zinamwagwa kila kona. Wazazi wangu hii sio sawa na Chama Cha Mapinduzi kinakemea hili jambo"
Natumaini ACT na CHAUMMA wanaangalia kwa umakini mkubwa nini kinaendelea kwenye mchakato wa CCM
Yaani kama huko CCM watu washaanza kumwaga hela na kuchezeana rafu, itakuwaje sasa ikiwa mgombea wa CCM na mpinzani?
Inashangaza sana kuona mtu ambaye alikuwa anahonga wananchi Matisheti analalamikia kuhusu rushwa kwenye Uchaguzi
Yaani hapa kasema kabisa yeye hana hela na kwamba huko Buchosa kuna watu wanasambaza hela ili wachukue nafasi yake.
"Mtakachokifanya kesho wazazi kisitegemee ni kiasi gani cha pesa mtu ametoa. Uongozi haunuliwi hatuwezi kutengeneza taifa la watu wanaonunua uongozi. Jimbo hili fedha zinamwagwa kila kona. Wazazi wangu hii sio sawa na Chama Cha Mapinduzi kinakemea hili jambo"
Natumaini ACT na CHAUMMA wanaangalia kwa umakini mkubwa nini kinaendelea kwenye mchakato wa CCM
Yaani kama huko CCM watu washaanza kumwaga hela na kuchezeana rafu, itakuwaje sasa ikiwa mgombea wa CCM na mpinzani?
Eti ombi langu msiniondoe sasa