Equity bank: Taasisi ya kifedha pekee iliyobaki inayoajiri graduates bila upendeleo

mdesi

JF-Expert Member
Jul 18, 2013
1,367
2,220
Habari wana JF,

Taasisi ya kifedha pekee iliyobaki inayoajiri fresh graduates bila upendeleo ni Equity bank. Hawana cha kumjua nani wala nani, kama una qualification na ukafaulu written test hakika hawakuachi. Halafu wanajitanua sana halafu kwa strategy nimeliona new branch Morogoro pale nadhani watafungua soon. Hii benki ipo tofauti sana na benki nyingine.

They are very smart aisee nimewapenda.
 
Habari wana JF, taasisi ya kifedha pekee iliyobaki inayo ajiri fresh graduates bila upendeleo ni Equity bank. Hawana cha kumjua nani wala nani, kama una qualification na ukafaulu written test hakika hawakuachi. Halafu wanajitanua sana halafu kwa strategy nimeliona new branch Morogoro pale nadhani watafungua soon. Hii benki ipo tofauti sana na benki nyingine. They are very smart aisee nimewapenda.
halafu wee jamaa bhana nkajua kuna ajira wametangaza umenitia machungu sana
 
halafu wee jamaa bhana nkajua kuna ajira wametangaza umenitia machungu sana
Pale hawatangazi... yaani alichosema mkuu apo juu n kweli kabisa hawana undugunaisheni wala upendeleo kama bank nyingine, cha msingi uwe umefaulu hesabu na kiingereza o-level yaani ulipata pass, kiufupi wako vizuri ndio maana na huduma zao ziko fresh ukilinganisha na bank nyingine
 
Pale hawatangazi... yaani alichosema mkuu apo juu n kweli kabisa hawana undugunaisheni wala upendeleo kama bank nyingine, cha msingi uwe umefaulu hesabu na kiingereza o-level yaani ulipata pass, kiufupi wako vizuri ndio maana na huduma zao ziko fresh ukilinganisha na bank nyingine
Mkuu o level tu?
Hata kama sio graduate?
 
Pale hawatangazi... yaani alichosema mkuu apo juu n kweli kabisa hawana undugunaisheni wala upendeleo kama bank nyingine, cha msingi uwe umefaulu hesabu na kiingereza o-level yaani ulipata pass, kiufupi wako vizuri ndio maana na huduma zao ziko fresh ukilinganisha na bank nyingine
Sasa kama hawatangazi watu wanapataje kazi?
Wanajuaje
 
Habari wana JF, taasisi ya kifedha pekee iliyobaki inayo ajiri fresh graduates bila upendeleo ni Equity bank. Hawana cha kumjua nani wala nani, kama una qualification na ukafaulu written test hakika hawakuachi. Halafu wanajitanua sana halafu kwa strategy nimeliona new branch Morogoro pale nadhani watafungua soon. Hii benki ipo tofauti sana na benki nyingine. They are very smart aisee nimewapenda.
Mbna unasifia sana
 
Naona kama mmekuja kutangaza hii bank. Mi nilidhani tangazo la kazi.
 
Mathematics ni disease tanzania.
Duh sasa mnasema mtu asiwe amepata F ya maths o level
So kama mtu anayo ndo bas tena
 
Back
Top Bottom