Tuliambiwa tutapigiwa simu after two weeks kupewa matokeo ya usaili,kuanzia tarehe 3 feb mpaka leo kimya hamna mtu aliyepata call!!Au ndo tumekalia kuti kavu,mwenye taarifa tafadhali atujuze.....
Tuliambiwa tutapigiwa simu after two weeks kupewa matokeo ya usaili,kuanzia tarehe 3 feb mpaka leo kimya hamna mtu aliyepata call!!Au ndo tumekalia kuti kavu,mwenye taarifa tafadhali atujuze.....
mi cjasoma udom,kwani vipi mbona unaniogopesha mkuu?
ile ofisi walifanya kitu mbaya sana kumkabidhi mtanzania ambaye amemaliza udom mwaka 2009,jina ninalo na kundi lake ambao wameamua kuwachukua marafiki waliosoma darasa moja na baadhi ya watu kutoka udom na wachache ambao wamepelekwa na wakurugenzi wa benki hiyo ila usikate tamaa kwani wanataraji kufungua matawi kadhaa na nahisi wengine pia watapata nafasi baada ya huo ukiritimba kuisha humo ndani,ukifika pale quality center na ukakaa muda kadhaa ukifuatilia yanayofanywa pale na watz wenzetu utajuuta
Mkuu wakati mwingine taratibu za kuajiri zinakuwa zinazingua sana, tena ukizingatia hiyo ni Bank mpya kabisa hapa bongo...!
Kama hajaitwa hata mmoja basi endelea kujipa moyo tu.
Lakini harakati za kutupia ziendelee kama kawa hakuna kulala
ile ofisi walifanya kitu mbaya sana kumkabidhi mtanzania ambaye amemaliza udom mwaka 2009,jina ninalo na kundi lake ambao wameamua kuwachukua marafiki waliosoma darasa moja na baadhi ya watu kutoka udom na wachache ambao wamepelekwa na wakurugenzi wa benki hiyo ila usikate tamaa kwani wanataraji kufungua matawi kadhaa na nahisi wengine pia watapata nafasi baada ya huo ukiritimba kuisha humo ndani,ukifika pale quality center na ukakaa muda kadhaa ukifuatilia yanayofanywa pale na watz wenzetu utajuuta
peleka pale quality center,ukiingia tu main entrance unaiona....all the best mkuu