Epuka sana kukopesha mtu pesa

Tena usijaribu kabisa kumkopesha kiumbe mwenye miguu miwili matiti mawili na mbususu katikati ya mapaja yake....utaishia kusaga meno
 
Dah kuna mwana nimemkopesha million moja huu mwezi wa saba,yaani hana hata nia ya kunilipa…Ninabaki nahuzunika tu.Binadamu wabaya sana,alivyokuwa ananiomba hadi huruma ila sasa mimi ndo natia huruma na hela yangu mwenyewe
 
Dah kuna mwana nimemkopesha million moja huu mwezi wa saba,yaani hana hata nia ya kunilipa…Ninabaki nahuzunika tu.Binadamu wabaya sana,alivyokuwa ananiomba hadi huruma ila sasa mimi ndo natia huruma na hela yangu mwenyewe
[emoji3]
 
Dah kuna mwana nimemkopesha million moja huu mwezi wa saba,yaani hana hata nia ya kunilipa…Ninabaki nahuzunika tu.Binadamu wabaya sana,alivyokuwa ananiomba hadi huruma ila sasa mimi ndo natia huruma na hela yangu mwenyewe
learning the hard way
 
Dah kuna mwana nimemkopesha million moja huu mwezi wa saba,yaani hana hata nia ya kunilipa…Ninabaki nahuzunika tu.Binadamu wabaya sana,alivyokuwa ananiomba hadi huruma ila sasa mimi ndo natia huruma na hela yangu mwenyewe
Ndo inavyokuwaga mara zote
 
Chanzo cha kuvunja undugu
 
Dah kuna mwana nimemkopesha million moja huu mwezi wa saba,yaani hana hata nia ya kunilipa…Ninabaki nahuzunika tu.Binadamu wabaya sana,alivyokuwa ananiomba hadi huruma ila sasa mimi ndo natia huruma na hela yangu mwenyewe
Hahah

Pole
 
Dah kuna mwana nimemkopesha million moja huu mwezi wa saba,yaani hana hata nia ya kunilipa…Ninabaki nahuzunika tu.Binadamu wabaya sana,alivyokuwa ananiomba hadi huruma ila sasa mimi ndo natia huruma na hela yangu mwenyewe
Hatari....wanatia huruma hao wakati wanaomba mkopo. Ukishawapa sasa loh!
Kuna demu nilimkopeshaga 5ok nakwambia hadi simu alikuwa hapokei.

Mwengine nilimkopa laki tatu niliambulia kula mbususu tuu
 
Baba O na M

Bado ile 1M yangu inaniuma usione huna mafanikio ukadhani kwamba muda bado kuna machozi yangu hapo amini nakuambia jitahidi unirejeshee hiyo hela toka mwaka 2017 uliona wapi?
 
Nakubaliana na wewe na ndio kanuni yangu.
 
Si kumkopesha tu hata kumkopea (kumchukilia hela au kitu toka kwa mtu wa tatu) ni kosa la kiufundi. Na tena, usipende hata kumdhamini mtu deni adaiwalo. Utalala na viatu. Naeleza kwa uzoefu. Usithubutu.
Hapo hasa,Kuna mtu nilimdhamini akapewa mkopo mahali,duuuu,mwisho wa siku ilibidi niingize mkono mfukoni nilipe baadhi ya ule mkopo.
Yaani tuwe makini boss
 
Hatari....wanatia huruma hao wakati wanaomba mkopo. Ukishawapa sasa loh!
Kuna demu nilimkopeshaga 5ok nakwambia hadi simu alikuwa hapokei.

Mwengine nilimkopa laki tatu niliambulia kula mbususu tuu
bora wewe ulijilipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…