Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,880
Aisee. Mdaiwa afungwi.
Katika maisha yako ya utafutaji epuka sana kumkopesha mtu pesa kwa lengo la kurudishiwa pesa yako ya awali.
Kumbuka kuwa pesa unayompa mtu kwa mkopo sio yako tena.
Aliwahi kuniambia baba yangu"mtu akikuomba umkopeshe pesa mpe nusu ya pesa alio omba kama sadaka mbele ya Mungu, Ila usije weka matarajio yeyote kwa pesa uliomkopesha mtu.
Mfano
Rafiki akikuomba umkopeshe elfu Kumi, basi wewe kiroho Safi mpe elfu tano ili kumuwezesha katika jambo husika.
Sio ndugu
Sio rafiki
Wala nini.
Usikopeshe Ila wezesha.
Wapo wengi sana walirudishwa nyuma kwa kukopesha pesa kwa watu.
Asante
Katika maisha yako ya utafutaji epuka sana kumkopesha mtu pesa kwa lengo la kurudishiwa pesa yako ya awali.
Kumbuka kuwa pesa unayompa mtu kwa mkopo sio yako tena.
Aliwahi kuniambia baba yangu"mtu akikuomba umkopeshe pesa mpe nusu ya pesa alio omba kama sadaka mbele ya Mungu, Ila usije weka matarajio yeyote kwa pesa uliomkopesha mtu.
Mfano
Rafiki akikuomba umkopeshe elfu Kumi, basi wewe kiroho Safi mpe elfu tano ili kumuwezesha katika jambo husika.
Sio ndugu
Sio rafiki
Wala nini.
Usikopeshe Ila wezesha.
Wapo wengi sana walirudishwa nyuma kwa kukopesha pesa kwa watu.
Asante