Epuka sana kukopesha mtu pesa

Epuka sana kukopesha mtu pesa

Dr wa Kaliua

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2020
Posts
1,634
Reaction score
3,880
Aisee. Mdaiwa afungwi.
Katika maisha yako ya utafutaji epuka sana kumkopesha mtu pesa kwa lengo la kurudishiwa pesa yako ya awali.

Kumbuka kuwa pesa unayompa mtu kwa mkopo sio yako tena.

Aliwahi kuniambia baba yangu"mtu akikuomba umkopeshe pesa mpe nusu ya pesa alio omba kama sadaka mbele ya Mungu, Ila usije weka matarajio yeyote kwa pesa uliomkopesha mtu.

Mfano
Rafiki akikuomba umkopeshe elfu Kumi, basi wewe kiroho Safi mpe elfu tano ili kumuwezesha katika jambo husika.

Sio ndugu
Sio rafiki
Wala nini.

Usikopeshe Ila wezesha.

Wapo wengi sana walirudishwa nyuma kwa kukopesha pesa kwa watu.

Asante
 
Aisee. Mdaiwa afungwi.
Katika maisha yako ya utafutaji epuka sana kumkopesha mtu pesa kwa lengo la kurudishiwa pesa yako ya awali.

Kumbuka kuwa pesa unayompa mtu kwa mkopo sio yako tena.

Aliwai kuniambia baba yangu"mtu akikuomba umkopeshe pesa mpe nusu ya pesa alio omba kama sadaka mbele ya Mungu, Ila usije weka matarajio yeyote kwa pesa uliomkopesha mtu.

Mfano
Rafiki akikuomba umkopeshe elfu Kumi...basi wewe kiroho Safi mpe elfu tano ili kumuwezesha katika jambo husika.

Sio ndugu
Sio rafiki
Wala nini.

Usikopeshe Ila wezesha.

Wapo wengi sana walirudishwa nyuma kwa kukopesha pesa kwa watu.

Asante
Nakazia
 
Me binafsi huwa sikopeshi mtu kabisa utanichukia bure maana na mm huwa sikopi kwa mtu, yaani labda nimekuheshimu sana sana na nakujua vizuri unawez rudisha. Na huwa nakukopesha hela ambayo hata ukinizika ntachukulia poa tu na kuendelea na maisha yangu bila shida. Ila huwa ni big NO..
 
Aisee. Mdaiwa afungwi.
Katika maisha yako ya utafutaji epuka sana kumkopesha mtu pesa kwa lengo la kurudishiwa pesa yako ya awali...
Kweli kabisa, naunga mkono hoja. Kwa hela nilizokopesha watu mpaka sasa nikihesabu zaweza timia hat milioni 5 na hakuna hata mmoja aliye na aibu kutaka nirudishia. Yaani kila mmoja anakausha tu as if siwadai. Because of this, sikopeshi mtu yeyote hela hata iweje, nimekoma.
 
Kweli kabisa, naunga mkono hoja. Kwa hela nilizokopesha watu mpaka sasa nikihesabu zaweza timia hat milioni 5 na hakuna hata mmoja aliye na haibu kutaka nirudishia. Yaani kila mmoja anakausha tu as if siwadai. Because of this, sikopeshi mtu yeyote hela hata iweje, nimekoma.
Katika maisha Ni bora mtu akuone mbaya kwa kumwambia Sina kuliko wewe kuja kumuona mbaya pindi pale unapomdai na yeye anakuwa anakuzungusha kukupa pesa yako.
 
Si kumkopesha tu hata kumkopea (kumchukilia hela au kitu toka kwa mtu wa tatu) ni kosa la kiufundi. Na tena, usipende hata kumdhamini mtu deni adaiwalo. Utalala na viatu. Naeleza kwa uzoefu. Usithubutu.
Kuna MTU nilimkopea sehemu milion 3.5 sitaki kukumbuka nilichopitia

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Si kumkopesha tu hata kumkopea (kumchukilia hela au kitu toka kwa mtu wa tatu) ni kosa la kiufundi. Na tena, usipende hata kumdhamini mtu deni adaiwalo. Utalala na viatu. Naeleza kwa uzoefu. Usithubutu.
mm kama unanipa kitu chenye thaman sawa au x2 ya ela unayotaka nikukopee ni sawa tu ili siku ukizingua kulipa mm nauza kitu chako naenda kulipa deni la watu
 
Back
Top Bottom