Nashukuru kwa marekebisho.
Baada ya kukwapua hizo hela walifanya nini? wamefungua viwanda wakaajiri? etc...
NAAMINI Leo wamo miongoni mwa hawa hapa:
Money Planners & Consultants inayomilikiwa na Paul Nyingo na Fundi Kitungi na kampuni ya Njake Hotel & Tours Limited inayomilikiwa Japhet Lema, Anna Lema, Abel Lema, Derick Lema na Benard Lema wa Arusha.
G&T International Limited, ya Octavio Timoth na Beredy Malegesi.
Excellent Service Limited inayomilikiwa na Emil Samanya, Peter Sabas na Elisifa Ngowi. Clyton Marketing ya Ngowi na Edwin Mtoi.
Rajabu Maranda na Thabit Katunda wanatajwa kumiliki kampuni ya Liqiud Service Limited .
Mibale Farm ya Kizza Selemani na Farijala Hussein na Malegesi Law Chambers inayomilikiwa na Beredy Malegesi.
Wamiliki wengine ni Paul Nyingo na Fundi Kitungi, wanaomiliki Kampuni ya Money Planners & Consultants na Kiloloma & Bros Enterprises inayomilikiwa na Charies Kissa.
Nafuu walifungua makampuni kuliko wangeenda kuweka(kulimbikiza) hizo hela benki Uswisi, Marekeani n.k.(silisifii hili ila ni katika kuchambua mambo)NAAMINI Leo wamo miongoni mwa hawa hapa:
Money Planners & Consultants inayomilikiwa na Paul Nyingo na Fundi Kitungi na kampuni ya Njake Hotel & Tours Limited inayomilikiwa Japhet Lema, Anna Lema, Abel Lema, Derick Lema na Benard Lema wa Arusha.
G&T International Limited, ya Octavio Timoth na Beredy Malegesi.
Excellent Service Limited inayomilikiwa na Emil Samanya, Peter Sabas na Elisifa Ngowi. Clyton Marketing ya Ngowi na Edwin Mtoi.
Rajabu Maranda na Thabit Katunda wanatajwa kumiliki kampuni ya Liqiud Service Limited .
Mibale Farm ya Kizza Selemani na Farijala Hussein na Malegesi Law Chambers inayomilikiwa na Beredy Malegesi.
Wamiliki wengine ni Paul Nyingo na Fundi Kitungi, wanaomiliki Kampuni ya Money Planners & Consultants na Kiloloma & Bros Enterprises inayomilikiwa na Charies Kissa.
Jamani wana JF
Hamna mwenye data hawa watu wanamiliki vitu gani? na wapi?
Nimesikia mmjoa aliajiza range rover UK. Tunataka majumba n.k
Wanabodi,
Kuna baadhi yetu humu wanachukulia kupelekwa mahakamani kama ni kitu kidogo. Naomba niwaambie mtu kama Jeetu Patel kukaa kwenye hilo bench la kizimbani kisutu kama maji mtungini akisikiliza mashitaka dhidi yake sio kitu kidogo.
.
jamani hakuna jipya?ingizo jipya?
eti JL hana class,wala taste,eti nyumba kapaka rangi pink.whats wrong na JF.mimi na wewe tunajali class na taste sababu every penny counts,we dont even know where the next meal will come from,yeye he is above this,anawaza where he will get the next billion.huyu JL ana streetcred ndio maana ameweza kujipenyeza kwenye hiyo circle,na for your information hao lukaza's hela imewatembelea siku nyingi.LETS hate the game not players please
Hilo shinikizo la kuwapeleka mahakamani ni ushindi kwa umma.Wangeweza kuamua hata wasiwafikishe lakini kila kukicha kelele za umma zinawasuta.
Sasa nguvu pia itaelekezwa mahakamani na umma utaendelea kuwapigia kelele kwa kuwa hili sakata linajulikana na sheria ichukue mkondo wake.
Hii sinema bado iko mwanzo,tuendelee kutazama tusichoke
eti JL hana class,wala taste,eti nyumba kapaka rangi pink.whats wrong na JF.mimi na wewe tunajali class na taste sababu every penny counts,we dont even know where the next meal will come from,yeye he is above this,anawaza where he will get the next billion.huyu JL ana streetcred ndio maana ameweza kujipenyeza kwenye hiyo circle,na for your information hao lukaza's hela imewatembelea siku nyingi.LETS hate the game not players please
Singel D kelele tuendeleze kwa sheria kucuhukua mkondo wake, lakini pia tuendeleze kelele kwa ajili ya mipapa ya EPA, siyo tushangilie hivi vidagaa na kafara tu tusahu kwamba wahusika wakuu, walo alo wasema pinda kwamba wanaweza angamiza taifa? wapo wanapeta!
Siamini kama wale vijana wadogo nilo waona ukiondoa Jeetu na Lukaza eti ndo serikali ilikuwa ikiwagwaya!!, Lazima tuzidi kupaaza sauti, na wale baba zao (vigogo) washughulikiwe!
Inashangaza sana eti Mgonja aliye kuwa akiidhinisha yeye mambo haya ahayamgusi?? na wako wapi watendaji wa BOT wali husika? tunataka zaidi ya hapa... hatutaki kushangilia 'kupewa kijiko kimoja cha sukari wakati gunia zima lime jaa sukari' wkamatwe wote, sheria iache ichukue mkondo wake ndipo tutawapongeza, vinginevyo tutaendelea kupaaza sauti hadi kieleweke!
Elisifa Ngowi (Afisa Mwandamizi TISS)Sidhani kama wartamweka kizuizini labda kama ni danganya toto,
ni mmoja ya watu ambao wanaweza wakafanya nchi isitawalike kama akiweza kuzungumza anachokijua..Ana SIRI kubwa na nadhani kwenye dili ya kampuni ya kilimo Kagoda 'Agriculture' atakuwa alihusika
Wangapi wamefikishwa mahakamani leo?
Mtanzania, bahati mbaya sana nimeondoka Dar na huku nilipo mawasiliano si mazuri sana, lakini kabla ya kuondoka nilifahamu kuhusu kufikishwa kwa mtu anayeitwa Rajabu Maranda na wenzake na pia wamiliki wa Njake wa Arusha, ambao ni kina Lema.
Maranda ni maarufu kama mfadhili wa CCM mkoani Kigoma.
Nimefahamishwa Maranda yumo na mmoja kati ya waliokwenda kumdhamini ni Dk. Walid Aman Kabourou wa CCM, yule aliyehamia huko akitokea Chadema.
Sijapata hakika hasa kama alidhaminiwa na wengine ni kina nani lakini wanasema wanakaribia wanne
Mtanzania, bahati mbaya sana nimeondoka Dar na huku nilipo mawasiliano si mazuri sana, lakini kabla ya kuondoka nilifahamu kuhusu kufikishwa kwa mtu anayeitwa Rajabu Maranda na wenzake na pia wamiliki wa Njake wa Arusha, ambao ni kina Lema.
Maranda ni maarufu kama mfadhili wa CCM mkoani Kigoma.